Kabisa, hata mimi nilikua mjumbe mzuri tu nilipata tabu ambayo haielezeki ila kwasasa toka niachane na habari ile namshukuru Mungu japo kidogo yaliyomo yamo.Hapo dawa ni 1 tuh....acha vikao unavyohudhuria CHAPUTA baada ya ya mwezi utakua unagegeda adi kuku[emoji16]
Mi nashangaa jamaa katunukiwa kukosa hamu ya kufanya ujinga analalamika.Ukikosa hamu ya kufanya ngono si ufanye mambo mengine ya msingi?Hakuna kitu ninachotamani kama kukosa hamu ya huo utopolo.
Nimekupata kakaJifunze kufanya mazoezi bro kunywa maji mengi pia... Mwaka Jana kurudi nyuma nilikua na tatizo linalofanana na lako mi nilikua nikipiga bao moja basi hapo mashine kusimama n msala inachukua muda sana sio siri hii inshu ilinitesa kiasi kwamba nikawa nakwepa mademu lakini nilipoanza kupiga tizi huwezi amini niko fiti sina wasiwasi.. USIJE UKAINGIA KWENYE MTEGO WA VITU VYA KUJIBOOST MFANO VUMBI LA KONGO NA VIAGRA UTAJUTA... NARUDIA MARA YA MWISHO
Fanya mazoezi kunywa maji mengi
Kusema ukwel bhan chaputa ni chama langu ila inabidi nikisaliti dah niliwaza sana siku ile uwez aminiPole sana mkuu, nakuelewa.... ila ushauri naweza kukupa ni punguza hofu na mawazo maana lile tendo linahitaji kujiamini, utulivu wa akili na nafsi.
Pia kile kitendo ili uenjoy vizuri teamwork inahusika, ongea na mwenza wako kuwa huru naye anaweza kuwa msaada mzuri kwako na hyo hali ikapungua kama sio kuisha kabisa.
Kuna mtu hapo juu nimeona kaongelea kuhusu CHAPUTA, kama nawe ni member basi em fata ushauri wake utakusaidia zaidi.
aibu kama ukiwaonyesha watu kama huwaonyeshi hamna aibu unapambana na maisha tuWe ni Wa kike ndoman uwezi jua aibu yake ipoje
Kukosa hamu ya tendo si tatizo bali ni DALILI ya tatizo kubwa la msingi lililojificha, labda hofu ya jambo fulani, au una haraka, au msongo, au hupati ushirikiano wakati wa maandalizi hadi wakati wa mchezo (Yaani gemu unaianza wewe na kuimaliza wewe kila kitu peke yako), au unakatishwa tamaa na kushushwa thamani yako nawe unataka kuthibitisha kwamba unaweza, na mengineyo mengi.Habarini wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu in tatizo ambalo linanikuta Mara kwa Mara kabla sijaenda nakuwa na hu lakn nikifika tu basi hamu yote inaisha na maumbile husimama kwa ulegevu sana nashindwa kuelew nitaondokan na tatizo hili kivipi.
Msaada ndugu zangu
Tafuta dawa inaitwa Metformin. Meza kidonge kimoja saa moja kabla ya mtanange.Habarini wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu in tatizo ambalo linanikuta Mara kwa Mara kabla sijaenda nakuwa na hu lakn nikifika tu basi hamu yote inaisha na maumbile husimama kwa ulegevu sana nashindwa kuelew nitaondokan na tatizo hili kivipi.
Msaada ndugu zangu
Hii uliyosema ishirikiano hapo ndo nimekupata alaf sikuwah kiwazaga kama inaweza kuwa sababuKukosa hamu ya tendo si tatizo bali ni DALILI ya tatizo kubwa la msingi lililojificha, labda hofu ya jambo fulani, au una haraka, au msongo, au hupati ushirikiano wakati wa maandalizi hadi wakati wa mchezo (Yaani gemu unaianza wewe na kuimaliza wewe kila kitu peke yako), au unakatishwa tamaa na kushushwa thamani yako nawe unataka kuthibitisha kwamba unaweza, na mengineyo mengi.
Nadhani majibu unayo mwenyewe
hujapendwa!!Wanawake hamna siri tatizo
Ndio majibu gani sasa hayo!?We ukikaa japo wiki moja tu bila kupigwa mti unaweza kujisikia poa kweli!?Sio chakula hiko kwamba ukikosa utakufa, relax
Inabidi ujitoe mazima huko, ndio panapokuharibiaKusema ukwel bhan chaputa ni chama langu ila inabidi nikisaliti dah niliwaza sana siku ile uwez amini
[emoji16]Ukikosa hamu ya kufanya ngono si ufanye mambo mengine ya msingi?Hakuna kitu ninachotamani kama kukosa hamu ya kufanya huo utopolo.
Duh, Metformin kweli?????!!!! kwani huyu ni mgojwa wa sukari?! Huyo hahitaji dawa, ni saikolojia tuTafuta dawa inaitwa Metformin. Meza kidonge kimoja saa moja kabla ya mtanange.
Nb: Unaweza kupata side effect ya kuharisha.