Tatizo la kunyaka kwa mche wakat wa matunda

Tatizo la kunyaka kwa mche wakat wa matunda

Northern empire

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2019
Posts
358
Reaction score
459
Habari za usiku ndugu zangu . Niende kwenye mada moja kwa moja , kunatatizo linamsumbua mno hasa maeneo ya pwani sijui kama maeneo mengine lipo kiasi hichi .tatizo la kunyauka kwa Miche wakat wa matunda (nmyauko) . Ombi langu ni kuwa kwa yeyote ambae anafaham utatuzi wa hili janga naomba anisaidie kwan linanitesa mno na kunawatu wanasema halina tiba yake hasa kwa zao la nyanya na hata hoho.

Kwa yeyote anaeweza kunisaidia njia ya kukabilian nalo nitashkuru saana.
 
Mtafute Afisa Ugani (Afisa Kilimo) wa eneo lako wako wamepangwa kiserikali kabisa, wapo chini Mtendaji wa KataTip:

Mkulimastar - KAZI ZA AFISA UGANI •Uundaji na kufanya ...​




KAZI ZA AFISA UGANI •Uundaji na kufanya kazi na vikundi vya wakulima/wafugaji na mashamba darasa. •Kutembelea wakulima mashambani au kwenye kaya ...
pia rekebisha heading andika neno Kunyauka kwa mche sio kunyaka
 
Miche inanyauka na kufa kabisa ama?

Maana Mimi sio Mkulima ila nina kabutsani changu ninakutana na hilo kwenye miche ya Nyanya na Pilipili, ila kuna wakati nikikuta mche umenyauka nikiumwagilia siku inayofuata nakuta umerudi kuwa sawa.

Nina miche kadhaa ya pilipili imezaa vizuri tu lakini majani yamelegea, huwa mimi kwa mawazo yangu naona labda ni jua limekuwa kali....labda kama atapatikana mtaalamu anaweza kueleza kitaalamu.

Pia nadhani hii miche ya kisasa ni tofauti na ile ya asili....hii haitaki maji mengi na wala haitaki ikose maji.
 
Habari za usiku ndugu zangu . Niende kwenye mada moja kwa moja , kunatatizo linamsumbua mno hasa maeneo ya pwani sijui kama maeneo mengine lipo kiasi hichi .tatizo la kunyauka kwa Miche wakat wa matunda (nmyauko) . Ombi langu ni kuwa kwa yeyote ambae anafaham utatuzi wa hili janga naomba anisaidie kwan linanitesa mno na kunawatu wanasema halina tiba yake hasa kwa zao la nyanya na hata hoho.

Kwa yeyote anaeweza kunisaidia njia ya kukabilian nalo nitashkuru saana.

Pwani ya wapi upo mkuu? tuanzie hapoo
 
Back
Top Bottom