Nasumbuliwa na tatizo la mdomo kupauka sana na kuanza kupasuka pasuka kwenye lips kiasi kwamba ninapokula hata baadhi ya matunda kama nanas na chungwa napata sana tabu.
Nilijitahidi kupaka mafuta wakati wa kulala na asubuhi kukiwa na baridi lakini bado, Je kuna dawa naweza kutumia wadau, yeyote mwenye uelewa anisaidie.