Tatizo la kupitisha siku za hedhi,

Tatizo la kupitisha siku za hedhi,

chriss makoba

Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
50
Reaction score
10
Naomba msaada madokta kuhusiana na tatizo Hili, Nina mpenz kaingia hedhi tareh 8 mwez wa 2, na nikakutana nae tareh 4 mwez wa 3, akawa kabadili mazingira mengine, lkn haingii kwenye siku zake na ukizingatia mzunguko wake Huwa haubadiliki, je kuna uwezekano wa kupata mimba, na ukizingatia nimekutan nae zimebak siku 4 kuingia kwenye hedhi,
 
Back
Top Bottom