Tatizo la kupukutika kucha zote

Amri kuu ni Upendo

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
789
Reaction score
489
Habari watalaamu!
Nina tatizo la kupukutika kucha zote miguuni na mikononi na zikijaribu kuota zinaumuka kwa ndani halafu zinaacha na nyama inayozikamata.
Tafadhali aliye mtaalamu au anayemjua mtaalamu wa tatizo hili anitumie hata meseji kwenye 0656 353 925
 
Una upungufu wa Vitaminimwilini nenda kamuone daktari akupime Vitamin mwilini mwako akupime damu atagunduwa una maradhi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…