Tatizo la kusikia au kusoma Vibaya (Mis Interpretio

Tatizo la kusikia au kusoma Vibaya (Mis Interpretio

Ryzen

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
7,301
Reaction score
8,706
Nina tatizo la kusikia au kusoma tofauti na maana halisi mfano kusoma neno kuoana naeza kusoma kuelewana

Na pia katika kusikia ni hivo hivo ubongo wangu unatafsiri maneno tofauti na uhalisia iwe kwa kusikia au kusoma!

Hili tatizo linanipa shida maana naanza kuwa mzito kuelewa....Je Hili ni tatizo au ugonjwa??

Nasaidikeje!?
 
Back
Top Bottom