Tatizo la kutapika nyongo mara kwa mara

EnvyPearl

Senior Member
Joined
Dec 23, 2018
Posts
170
Reaction score
351
Naomba msaada kujua ni njia zipi au dawa ambazo anaweza kutumia mtu anatapika nyongi mara kwa mara na mtu huyo ni mgonjwa na vidonda vya tumbo msaada tafadhaali..asante
 
Naomba msaada kujua ni njia zipi au dawa ambazo anaweza kutumia mtu anatapika nyongi mara kwa mara na mtu huyo ni mgonjwa na vidonda vya tumbo msaada tafadhaali..asante

Dawa ziko nyingi na zinatolewa kulingana na hali yake inayosababisha atapike
Kuna mtu kutapika kunatokana na stimulants za tumbo na zingine ni kutoka kwenye ubongo kwa hiyo treatment ni tofauti


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Dawa ziko nyingi na zinatolewa kulingana na hali yake inayosababisha atapike
Kuna mtu kutapika kunatokana na stimulants za tumbo na zingine ni kutoka kwenye ubongo kwa hiyo treatment ni tofauti


Sent from my iPhone using JamiiForums

So wat do yu advice please..maana kama dawa za hosp kashatumia sana anti acids and they aint working..
 
So wat do yu advice please..maana kama dawa za hosp kashatumia sana anti acids and they aint working..

Me nashauri apewe kwanza dawa inaitwa ondasentron hii inazuia kutapika kama inatokana na tatizo kwenye ubongo asipoonyesha dalili za kupata nafuu apatiwe metoclopramide na wakati wote wa dawa hakikisheni anatumia orodar kwa ajili ya kubalance maji mwilini


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Shukranii sana sana [emoji1488]
 
Naomba msaada kujua ni njia zipi au dawa ambazo anaweza kutumia mtu anatapika nyongi mara kwa mara na mtu huyo ni mgonjwa na vidonda vya tumbo msaada tafadhaali..asante
Tafta majani ya mti wa mkwaju ule mti unaozaa ukwajuu yachemshe piga kikombe kimoja mara cku 3,ulete mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ana vidonda vya tumbo halafu umchemshie majani ya ukwaju hakuna rangi ataacha kuona usijaribu. Ajitahidi awe anakula kwa wakati vyakula visivyo na acid hiyo hali itakata.
Asante Mkuu. Kiasi gani cha majani? Isije ikawa diluted au concentrate mno ikaleta madhara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dawa ziko nyingi na zinatolewa kulingana na hali yake inayosababisha atapike
Kuna mtu kutapika kunatokana na stimulants za tumbo na zingine ni kutoka kwenye ubongo kwa hiyo treatment ni tofauti


Sent from my iPhone using JamiiForums
Afike kwa wayalaamu wa magonjwa ya Tumbo wakamsikilize na kumpatia tiba iliyo sahihi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…