Tatizo la kutokupiz linasababishwa na nini hasa?

fredymkanza

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2016
Posts
284
Reaction score
152
Nina shida ya kutokupizi wiki ya tatu sasa napiga mzigo hata usiku kucha dudu hailali na haitoi kitu. Ni nini haswa kinasababisha?

Ushauri tafadhali.
 
psychological matter,
umeanza kumchoka mkeo
 
mmh hizi mada zingine fanya umpate binti mzuri akupe kitu roho inapenda utaona kama hata dk 3 zitafika
 
Teh teh inatoka hewa? Punguza kutumika mkuu au acha kujichua kabisa
 
Nina shida ya kutokupiz wiki ya tatu sasa ni nini haswa kinasababisha?
Ushauri tafadhali
Una maana ipi?
Ya mkojo huu wa kawaida? Hii haiwezekani kabisa ungekuwa hoi kitandani
Au hii ya kutoa manii unapofanya ngono ama kujichua? Nayo ngumu kumeza
 
mmh yaan kina watu wana matatizo mpaka unaweza kujiona malaika
sasa mbn huelewek yan ukigonga papuchi upizi au hata puli upizi.yaan unatoa hewa au niaje
 
acha kula chipsi aisee kula vyakula vinavyosaidia katika utendenezaji wa sperm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…