Tatizo la kutokwa na mishipa kwenye ngozi.

Tatizo la kutokwa na mishipa kwenye ngozi.

orangutan

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
757
Reaction score
774
Habari wapendwa! Ngozi yangu (sanasana mikononi) imekuwa na ukawaida wa kuonyesha mishipa mikubwa na minene ya damu (veins) kiasi kwamba imekuwa ikivuta attention za watu pindi wakiiona mikono yangu haijafunikwa.

Ni kitu ambacho nimekuwa nikiki-experience tangu kipindi hicho nikiwa shule ya sekondari mpaka leo hii nimemaliza chuo. Hali hii haijanifanya nipate complications zozote za kiafya, ila sio siri imekuwa ikinipunguzia confidence pindi ninapokuwa mbele za watu huku nimevaa fulana ya mikono mifupi.

Sometimes hata kugonga msosi na wenzangu huwa naona soo kwasababu kipindi napeleka tonge kwenye bakuli la mboga huwa nakuta natolewa macho na walaji wenzangu wakishangaa nilivotokwa na mishipa minene kama nyaya mikononi. Hii hali hunitokea sanasana hali ya hewa ikiwa na joto kiasi na kitu ambacho kimenifanya nijihisi tofauti na wenzangu. Naomba msaada wa ushauri wa kitabibu kama kuna uwezekano wa kuondokana na hii kadhia. Ahsanteni!

IMG_20161121_080212.jpg
 
Habari wapendwa! Ngozi yangu (sanasana mikononi) imekuwa na ukawaida wa kuonyesha mishipa mikubwa na minene ya damu (veins) kiasi kwamba imekuwa ikivuta attention za watu pindi wakiiona mikono yangu haijafunikwa. Ni kitu ambacho nimekuwa nikiki-experience tangu kipindi hicho nikiwa shule ya sekondari mpaka leo hii nimemaliza chuo. Hali hii haijanifanya nipate complications zozote za kiafya, ila sio siri imekuwa ikinipunguzia confidence pindi ninapokuwa mbele za watu huku nimevaa fulana ya mikono mifupi. Sometimes hata kugonga msosi na wenzangu huwa naona soo kwasababu kipindi napeleka tonge kwenye bakuli la mboga huwa nakuta natolewa macho na walaji wenzangu wakishangaa nilivotokwa na mishipa minene kama nyaya mikononi. Hii hali hunitokea sanasana hali ya hewa ikiwa na joto kiasi na kitu ambacho kimenifanya nijihisi tofauti na wenzangu. Naomba msaada wa ushauri wa kitabibu kama kuna uwezekano wa kuondokana na hii kadhia. Ahsanteni!
Piga picha huo mkono tuone hali ilivyo tafadhali,
 
We ni mwanaume?.. Ktk vitu vinavyovutia kwa mwanaume ni hicho kimojawapo,mkishikana mikono unaona tofauti kabisaa,huyu KE huyu ME, mwanaume atakuaje na ngozi soft kama ya kike bwana...unless kama viko too much ndo uende hospital, otherwise MAN UP ujikubali...ladies like that🙂
 
We ni mwanaume?.. Ktk vitu vinavyovutia kwa mwanaume ni hicho kimojawapo,mkishikana mikono unaona tofauti kabisaa,huyu KE huyu ME, mwanaume atakuaje na ngozi soft kama ya kike bwana...unless kama viko too much ndo uende hospital, otherwise MAN UP ujikubali...ladies like that🙂
IMG_20161121_080212.jpg
 
U look familiar though sijui tunafahamiana...Hehhe...hapo uko kawaida ukikasirika jeee...lol,nenda tu hosp uulize km kuna lolote otherwise ur fiine..
Enhe tupe maoni yako , misuli kama hiyo si ndo mnaizimikia warembo au imezidi sana??
 
Jamani huko shuleni mnaenda kusoma au kuuza sura i dought nyie watoto

kuna kitu kinaitwa vasocontrition na vasodilation

hii hutokea wakati wa joto kwa kuwa binadamu ni damu moto nikimaanisha njia ya kupoteza joto ni kupitia ngozi.joto la binadamu linapaswa kuwa centigrade 37 hivyo joto linapozidi mwili, mwili huleta damu karibu na ngozi ili kuruhusu joto kupotea
 
Back
Top Bottom