tatizo la kuuma kifua kwa mgonjwa aliyekwisha wahi umwa tb

tatizo la kuuma kifua kwa mgonjwa aliyekwisha wahi umwa tb

thehunk

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
529
Reaction score
227
jamani nina mwanangu hapa nyumbani tatizo lake ni alisha wahi uguua tb mwaka jana ila tangu apone analalamika kuwa kifua kinamuuma yani kwa physical pain tumejaribu kwenda hospital wakifika kule wana mpima full blood picture, spectrum, na HIV NA ESR .......Katika vipimo vyote kila kitu kiko sawa hana HIV,full blood picture iko kawaida na ESR ni normal 12mm/s na spectrum huwa wanaishia kumwambia kuwa hakuna tatizo sasa je tatizo linaweza kuwa nini kwani tatizo linaendelea kwa kwasisitiza kuwa kifua huwa kinamuuma sana hasa wakati wa baridi kidogo msaada
 
Back
Top Bottom