Tatizo la kuumwa kichwa sana

Pole isije ikawa nitatizo lakienyeji wewe unaenda hospital hayo magonjwa ya kichwa huwa yanamabo mengi embu ujaribu na watumishi wa Mungu wakuombee huwezi jua. Pressure umecheki?
 
Salam kwenu wana jf.

Jamani mimi nina tatizo la kuumwa kichwa sana nimekua mtu wa kutembea na kiboksi cha panadol,nimepiga xray ya kichwa lakini sina tatizo ila naumwa sana sana kichwa.

Kama kuna dawa naomba mnijulishe..

Ushauri tafadhali.

mkuu kimeanza lini? pole mimi mwezi uliopita nilipata tatizo kama hilo nilipima kila aina ya ugonjwa bila bila panadol hazi saidii,labda diclopal na kuna dawa inaitwa tramadol nilikunywa moja mara mbili kwa siku na usiku variam kwa siku tatu ndo nikapata nafuu jaribu inaweza kusaidiaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…