Tatizo la kuvimba miguu wakati wa safari

Tatizo la kuvimba miguu wakati wa safari

Mrao keryo

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
1,901
Reaction score
2,566
Wakuu poleni na majukumu, naomba kwa mwenye kujua chanzo au tiba ya kuvimba kwa miguu wakati wa Safari. Mke wangu anasumbuliwa na tatizo hilo kila anaposafiri, akikaa kwenye gari zaidi ya masaa 6 ni lazima akione cha moto kwa miguu kuvimba na kuuma.

Msaada tafadhali.asanteni sana
 
Kila baada ya muda awe anasimama,kama vile kila baada ya saa moja anasimama kama dakika 15 kisha anakaa tena,
Sitting for a long time without moving,will cause blood to pool in leg veins.

Wataalamu watakuja kukupa maelezo zaidi.
 
Early signs of kidney or heart disorder. Akapime.
NB: mimi sio mtaalam wa afya, bali napenda kujielimisha.
 
Mi tumiguu twangu sijui tumekauka...
Yaan hata iwe masaa 24 utaikuta vilevile.Ila macho sasa,yanafika yamevimba kama jipu nadhani ni kwa sababu hata iwe usiku nayalazimisha yatazame na yaone nje🤒
 
Nenda kwenye Pharmacy ulizia support stockings zinasaidia blood circulation na pia kila akisafiri awe anasimama na kutembea kwenye basi au kama ni usafiri binafsi kuwepo na muda wa kusimama na kunyoosha miguu na kutembea nje kidogo.
Pia ni muhimu kucheki afya yake kama ana matatizo ya kiafya au unene wa kupitiliza.
 
Kila baada ya muda awe anasimama,kama vile kila baada ya saa moja anasimama kama dakika 15 kisha anakaa tena,
Sitting for a long time without moving,will cause blood to pool in leg veins.

Wataalamu watakuja kukupa maelezo zaidi.

Thanks mkuu
 
Nenda kwenye Pharmacy ulizia support stockings zinasaidia blood circulation na pia kila akisafiri awe anasimama na kutembea kwenye basi au kama ni usafiri binafsi kuwepo na muda wa kusimama na kunyoosha miguu na kutembea nje kidogo.
Pia ni muhimu kucheki afya yake kama ana matatizo ya kiafya au unene wa kupitiliza.

Ubarikiwe mkuu
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mi tumiguu twangu sijui tumekauka...
Yaan hata iwe masaa 24 utaikuta vilevile.Ila macho sasa,yanafika yamevimba kama jipu nadhani ni kwa sababu hata iwe usiku nayalazimisha yatazame na yaone nje🤒
Wenye manyama uzembe ndiyo hukumbwa na kadhia hii.
 
Back
Top Bottom