Kinaumukaga uthiku kwi kwi kwi.
Mwagia maji ya baridi mndele. Au nimuambie Paw aje kutoa msaada manake huyo mwanasihasa wako nae atakuua na maradhi. Kama BAK anagoma kutoa msaada sema shemeji yako aje mndele, usife na tai shingoni.
Mndele we kama vipi niletee tu shemeji Paw.
Manake huyu shemeji yako Ben Saanane kutwa yuko Siasani na akina chama,vitoto vya Gongo la Mboto.
Nchani mwa dunia.
Mndele King'asti, mie nawe ni watu wa Tanga, TUSINYIMANE. BAK kashindwa kunionesha fever.