Waungwana msaada demu kachomoa nisimkisi Kisa nanukia pombe nimekula bia kadhaa tumeingia gheto kakataa anakwepesha mdomo nimepiga mswaki bado harufu aiishi nifanyeje?kama kua Dawa ya kutafuna kupuliza nk nk msaada
Waungwana msaada demu kachomoa nisimkisi Kisa nanukia pombe nimekula bia kadhaa tumeingia gheto kakataa anakwepesha mdomo nimepiga mswaki bado harufu aiishi nifanyeje?kama kua Dawa ya kutafuna kupuliza nk nk msaada
Kokote pale hata nje pia poa bibie King'astiDr MziziMkavu, kama je haswakii chooni? Lol
mtoa mada, pole sana. Unafanya flossing? Nenda kwa dr wa meno kama una meno mabovu utoe. Jaribu kutumia sugar free chewing gums. Zinaweka mdomo fresh kwa muda mrefu pia.
Spot on, mtu anaweza kupiga miswaki mara tatu kutwa, lakini ukiwa na matatizo kwenye digestive system utaendela kutokwa harufu mbaya mdomoni, ni watu wachache wanao lijua hilo harufu hiyo inaweza kuwa inatoka tumboni/utumboni. At minimum binadamu unapaswa kupata choo at least zaidi ya mara mbili kwa siku!Je unalo tatizo la kupata choo kwa siku.
Kubrush three times and flossing once a week ndo mpango mzima. Cinnamon ilivyo chungu kuitumia kama mouth wash mweeh?
Kubrush three times and flossing once a week ndo mpango mzima. Cinnamon ilivyo chungu kuitumia kama mouth wash mweeh?
We Sanctus bana.
Wale wachuchu wawili niaje? Wana fresh breath and funky breath?
na kulamba kum** napo inachangia sana kuleta harufu mbaya ya mdomo