KERO Tatizo la kuwa na nzi wengi sana Dodoma mamlaka hazioni aibu au imeshindikana?

KERO Tatizo la kuwa na nzi wengi sana Dodoma mamlaka hazioni aibu au imeshindikana?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Kama umewahi kufika Dodoma utakubaliana na mm kuwa kuna kero ya nzi wengi sana kila sehemu hasa wanaouza vyakula na kwenye msongamano wa watu, nzi ni mdudu mchafu sana

Pia soma: Kwanini maeneo mengi ya biashara ya chakula huwa wanishindwa kudhibiti nzi?

Ukifika Dodoma licha ya sifa zake za kukua wa mji kuna tatizo la nzi wengi sana kuliko maeneo mengine nchini, nakumbuka miaka ya nyuma nilishindwa kwenda chako ni chako kula nyama kwa kuona kero ya nzi pale na nilidhani ni sababu ya nyama, hadi baadhi ya watu utaona wanazongwa na nchi machoni as if wana vidonda.

Nzi wengi wako mitaani, kwenye migahawa, hoteli, maofisini, sokoni ndio usiseme na hadi bungeni unaweza kuona wadudu hao walikatiza.

Je, mamlaka zimeshindwa kutokomeza hao wadudu wachafu wanaotoka kwenye kinyesi na uchafu kila sehemu.

USSR
 
Wewe umekuja nao kutoka huko jararani kwenu, hakikisha unaondoka nao.
 
Kama umewahi kufika Dodoma utakubaliana na mm kuwa kuna kero ya nzi wengi sana kila sehemu hasa wanaouza vyakula na kwenye msongamano wa watu, nzi ni mdudu mchafu sana

Pia soma: Kwanini maeneo mengi ya biashara ya chakula huwa wanishindwa kudhibiti nzi?

Ukifika Dodoma licha ya sifa zake za kukua wa mji kuna tatizo la nzi wengi sana kuliko maeneo mengine nchini, nakumbuka miaka ya nyuma nilishindwa kwenda chako ni chako kula nyama kwa kuona kero ya nzi pale na nilidhani ni sababu ya nyama, hadi baadhi ya watu utaona wanazongwa na nchi machoni as if wana vidonda.

Nzi wengi wako mitaani, kwenye migahawa, hoteli, maofisini, sokoni ndio usiseme na hadi bungeni unaweza kuona wadudu hao walikatiza.

Je, mamlaka zimeshindwa kutokomeza hao wadudu wachafu wanaotoka kwenye kinyesi na uchafu kila sehemu.

USSR
Hao nzi tangu ukoloni wapo kwa mkakati maalumu kujaribu kuwazuia wagogo wasisambae mikoa mingine, ni wakorofi na wagomvi wakilewa.
 
Kama umewahi kufika Dodoma utakubaliana na mm kuwa kuna kero ya nzi wengi sana kila sehemu hasa wanaouza vyakula na kwenye msongamano wa watu, nzi ni mdudu mchafu sana

Pia soma: Kwanini maeneo mengi ya biashara ya chakula huwa wanishindwa kudhibiti nzi?

Ukifika Dodoma licha ya sifa zake za kukua wa mji kuna tatizo la nzi wengi sana kuliko maeneo mengine nchini, nakumbuka miaka ya nyuma nilishindwa kwenda chako ni chako kula nyama kwa kuona kero ya nzi pale na nilidhani ni sababu ya nyama, hadi baadhi ya watu utaona wanazongwa na nchi machoni as if wana vidonda.

Nzi wengi wako mitaani, kwenye migahawa, hoteli, maofisini, sokoni ndio usiseme na hadi bungeni unaweza kuona wadudu hao walikatiza.

Je, mamlaka zimeshindwa kutokomeza hao wadudu wachafu wanaotoka kwenye kinyesi na uchafu kila sehemu.

USSR

Nzi hufuata uchafu, kwa hiyo unataka kusema Dodoma ni pachafu?
 
Wagogo ni wachafu sana, hata eashukuru wageni kuongezeka
 
Hata mbeya Sasa nzi wapo kila sehemu hawasubiri msimu wa embe tu ,hata huu msimu wa baridi na viazi wapo kila Kona ,vijijini ndiyo usiseme ila tushawastukia hawatoboi ng'o😺
 
Dodoma nimefika, sijawahi kuishi sana zaidi ya two weeks, lakini tofauti na kituo changu cha kaz, inawezekana ndo mkoa nimeenda Mara nyingi zaidi,,,, ni kweli nzi wapo,,,lakini ulivyoelezea ni too exaggerated,,, umetia limao sana,,,,



Yani nzi wapo mpaka wanatua machoni kunakuwa na Madonda? Tanzania hii kila mkoa nzi wapo wengi sana, hususani hii mikoa yenye population na joto mfano dsm !
 
Kama umewahi kufika Dodoma utakubaliana na mm kuwa kuna kero ya nzi wengi sana kila sehemu hasa wanaouza vyakula na kwenye msongamano wa watu, nzi ni mdudu mchafu sana

Pia soma: Kwanini maeneo mengi ya biashara ya chakula huwa wanishindwa kudhibiti nzi?

Ukifika Dodoma licha ya sifa zake za kukua wa mji kuna tatizo la nzi wengi sana kuliko maeneo mengine nchini, nakumbuka miaka ya nyuma nilishindwa kwenda chako ni chako kula nyama kwa kuona kero ya nzi pale na nilidhani ni sababu ya nyama, hadi baadhi ya watu utaona wanazongwa na nchi machoni as if wana vidonda.

Nzi wengi wako mitaani, kwenye migahawa, hoteli, maofisini, sokoni ndio usiseme na hadi bungeni unaweza kuona wadudu hao walikatiza.

Je, mamlaka zimeshindwa kutokomeza hao wadudu wachafu wanaotoka kwenye kinyesi na uchafu kila sehemu.

USSR
Tunamshukuru Rais Samia kwa hawa nzi.
Vp na wale nzi wa kijani hujaona walivyo wengi? Mbona haujawaanzishia uzi?
 
Wagogo ni wachafu sana, hata eashukuru wageni kuongezeka
Huu ni ukweli ambao hausemwi. Wagogo hawana utamaduni wa usafi. Na washukuri sana serikali kuhamia huko, ilifika mahali uchafu ukawa ni way of life
 
Back
Top Bottom