Econometrician JF-Expert Member Joined Oct 25, 2013 Posts 16,879 Reaction score 31,253 Oct 21, 2015 #1 Jamini, hili tatizo linatokana na nini na nini tiba yako. Nina rafiki zangu wawili wana tatizo hilo.
Madame S JF-Expert Member Joined Mar 4, 2015 Posts 17,171 Reaction score 34,394 Oct 21, 2015 #2 Isije kua gouts hizo if nimespell as it is waendw hospital
dionis66 Member Joined Oct 9, 2015 Posts 71 Reaction score 56 Oct 21, 2015 #3 Mabadiliko ya mwili, utaweza kuanza kula umri wa miaka 20 na kuendelea. Anza mchuzi changanya na maharage kwa miezi 3 then utaendelea kula nyama. Niliweza na ss nakula bila tatizo.
Mabadiliko ya mwili, utaweza kuanza kula umri wa miaka 20 na kuendelea. Anza mchuzi changanya na maharage kwa miezi 3 then utaendelea kula nyama. Niliweza na ss nakula bila tatizo.
ISLETS JF-Expert Member Joined Dec 29, 2012 Posts 8,120 Reaction score 5,352 Oct 22, 2015 #4 allergy hiyo.... akishindwa kuicontrol aache tu ale kuku.