Tatizo la Kuwashwa uume

Tatizo la Kuwashwa uume

INNOMATIX

Senior Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
113
Reaction score
47
Nilikuwa napenda kujua tatizo la kuwashwa ndani ya uume pindi unapomaliza tendo la ndoa,unapojisaidia haja ndogo na hata ukiuminya linasababishwa na nini na tatizo linaitwaje?
 
Mkuu kama unawashwa kwa ndani nenda kafanye URINARY ANALYSIS,,,,,,,,,,,,,Hilo tatizo nilishawai kukumbana nalo nilienda kupima nikaambiwa nina usaha kwa ndani then nikapewa dawa likaisha.
 
Kaka asante sana ngoja nifanye huo mpango sasa hv
 
Mkuu kama unawashwa kwa ndani nenda kafanye URINARY ANALYSIS,,,,,,,,,,,,,Hilo tatizo nilishawai kukumbana nalo nilienda kupima nikaambiwa nina usaha kwa ndani then nikapewa dawa likaisha.

Ulipewa dawa gani mkuu?
 
Ni vyema ungeenda kupima kwanza ujue...tatizo alafu ndio tabibu akupangie dawa....hayo mambo ya kukopy dawa sio mazuri.....mkuu.

Nshazunguka sana mkuu, kwenye Hutu tuhospital twetu nabuliwa Uti na kupewa common antibiotics tu.sasa najaribu kuuliza wenye uzoefu tu, nimekupata wewe so nisaidie Nita decide
 
Nshazunguka sana mkuu, kwenye Hutu tuhospital twetu nabuliwa Uti na kupewa common antibiotics tu.sasa najaribu kuuliza wenye uzoefu tu, nimekupata wewe so nisaidie Nita decide

kumbuka mkuu sababu za kuwasha huko ikulu zipo nyingi sana na zinatofautiana....ndio maana nasisitiza kwanza ukamuone daktari then baada ya uchunguzi ndio atajua dawa gani inakufaa.....
 
kumbuka mkuu sababu za kuwasha huko ikulu zipo nyingi sana na zinatofautiana....ndio maana nasisitiza kwanza ukamuone daktari then baada ya uchunguzi ndio atajua dawa gani inakufaa.....

Mpe Kama unazikumbuka majina Hali mbaya, siunajua unaweza kwenda hospital halafu ukakuta demu ndii Dr anakwambia unaumwa nini ukaishia Homs tangu jana...
 
Mkuu kwa bahati mbaya sizikumbuki.....lakini kama akienda kwenye maduka ya dawa akijielezea vizuri wanaweza kumsaidia....
Nakumbuka hata mimi nilikuwa hivyo hivyo na kila unayemuuliza anakuambia nilitumia dawa fulani nikapona lakini mimi nikitumia siponi....
Ndipo siku moja nilikata shauri kwenda kumuona daktari.......
Nilimtajia mlolongo wa dawa nilizotumia mpaka daktari akashtuka ndipo akanielza kuwa ni hatari....kutumia dawa bila maelezo au maelekezo ya daktari......
Kwa mfano hata malaria mwengine anapona kwa chrolokwini mwingine anapona kwa mseto.....kwa hiyo bado namshauri aende akamuone daktari kwanza......ndipo atapata suluhisho la ugonjwa wake.........ngoja nikuitie daktari humu humu...JF Riwa
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa napenda kujua tatizo la kuwashwa ndani ya uume pindi unapomaliza tendo la ndoa,unapojisaidia haja ndogo na hata ukiuminya linasababishwa na nini na tatizo linaitwaje?

Ushauri mzuri ni kutafuta vipimo kwanza, maana inaweza ikawa ni fangus kaka. Ukienda kwa madaktari ambao hawana vipimo wanaweza kudhani ni bacteria tu.
 
Nilikuwa napenda kujua tatizo la kuwashwa ndani ya uume pindi unapomaliza tendo la ndoa,unapojisaidia haja ndogo na hata ukiuminya linasababishwa na nini na tatizo linaitwaje?
Wazee mbn hata mimi hili tatizo linanisumbua sielew shida nini?
 
Back
Top Bottom