Tatizo la Lissu ni matendo, matamko na mwenendo wa anayofanya sasa, ni namna anavyotafuta hicho anachokihitaji na madhara yake kwa CHADEMA

Tatizo la Lissu ni matendo, matamko na mwenendo wa anayofanya sasa, ni namna anavyotafuta hicho anachokihitaji na madhara yake kwa CHADEMA

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Ana haki ya kutafuta hivcho "cheo" , shida ni namna anavyokifuta hicho cheo/Uenyekiti bila kuangalia matokeo ya hicho anachokifanya kwa ustawi wa chama chake!

1. Amekipasua chama vipande 3.......Lisu, Mbowe na wa kujitoa Chadema na kuangalia mabo yao

2. Amwanufaisha CCM/washindani wao wa kisiasa kwa kutokuwa na mshindani mwenye nguvu.

3. Confrontationa siasa kwa Tanzania zitaleta madra zaidi kuliko faida maana hakuna wa kuhimili "risasi", virungu vya polis kwa sasa Tanzania!

Huwezi kufaulu na matamko yako ya confrontation politics kwa sababu
1. Uko peke yako except Maria spaces , a small group of diaspora, na so called sauti ya watanzania ambao ni maneno maneno tu ya mitandaoni na fake ID na hawatakuja barabarani ukiitisha maandamano

2. Hakuna, kwa hulka ya watanzania , hakuna atakayekuja barabarani apigwe risasi..... na ndiyo maana wewe familia yako umepeleka USA na Belgium
 
Ana haki ya kutafuta hivcho "cheo" , shida ni namna anavyokifuta hicho cheo/Uenyekiti bila kuangalia matokeo ya hicho anachokifanya kwa ustawi wa chama chake!

1. Amekipasua chama vipande 3.......Lisu, Mbowe na wa kujitoa Chadema na kuangalia mabo yao

2. Amwanufaisha CCM/washindani wao wa kisiasa kwa kutokuwa na mshindani mwenye nguvu.

3. Confrontationa siasa kwa Tanzania zitaleta madra zaidi kuliko faida maana hakuna wa kuhimili "risasi", virungu vya polis kwa sasa Tanzania!

Huwezi kufaulu na matamko yako ya confrontation politics kwa sababu
1. Uko peke yako except Maria spaces , a small group of diaspora, na so called sauti ya watanzania ambao ni maneno maneno tu ya mitandaoni na fake ID na hawatakuja barabarani ukiitisha maandamano

2. Hakuna, kwa hulka ya watanzania , hakuna atakayekuja barabarani apigwe risasi..... na ndiyo maana wewe familia yako umepeleka USA na Belgium
Wamachame wamevurugwa mbaya na bado Lissu ndiye mwenyekiti ajaye wa Chadema.
 
Ana haki ya kutafuta hivcho "cheo" , shida ni namna anavyokifuta hicho cheo/Uenyekiti bila kuangalia matokeo ya hicho anachokifanya kwa ustawi wa chama chake!

1. Amekipasua chama vipande 3.......Lisu, Mbowe na wa kujitoa Chadema na kuangalia mabo yao

2. Amwanufaisha CCM/washindani wao wa kisiasa kwa kutokuwa na mshindani mwenye nguvu.

3. Confrontationa siasa kwa Tanzania zitaleta madra zaidi kuliko faida maana hakuna wa kuhimili "risasi", virungu vya polis kwa sasa Tanzania!

Huwezi kufaulu na matamko yako ya confrontation politics kwa sababu
1. Uko peke yako except Maria spaces , a small group of diaspora, na so called sauti ya watanzania ambao ni maneno maneno tu ya mitandaoni na fake ID na hawatakuja barabarani ukiitisha maandamano

2. Hakuna, kwa hulka ya watanzania , hakuna atakayekuja barabarani apigwe risasi..... na ndiyo maana wewe familia yako umepeleka USA na Belgium
Brother with all due respect.. Lissu ndio mtu sahihi zaidi kwasasa
 
Ndio democracy wanaomtaka watamchagua, nyie bakini na fomu 1 ya Mama kama hati ya kifo
 
Lisu yupo hivyohivyo ndio maana alipigwa Risasi
Usitake kudanganya watu kwamba Lisu kabadilika Kisa anatafuta hicho cheo cha uenyekiti.

Ni kwamba, Lisu alikuwa anatoa tando za buibui Nje ya nyumba sasa kaingia ndani
 
Back
Top Bottom