Aventus
JF-Expert Member
- Mar 8, 2013
- 2,011
- 2,168
Nina tatzo la vidonda vya tumbo kwa muda wa miaka miwili lakin toka nimepata maradhi hayo na mwaka huu yameambata na mengine.
Kama nikiwa na msongo wa mawazo basi tumbo linanisumbua likiambatana na maumivu makali ya kiuno. Pia nimepata tatizo lingine la macho ambapo nilikuwa na maumivu makali sana kutoka na mwanga.
Na sasa nimepatiwa miwani ya macho +5 flash light, lakini nikivua hata sekund 20, kesho yake naamka na maumivu makali ya kichwa.
Pia nimekuwa na tatizo la joint za miguu kuishiwa nguvu.sasa sielew tatizo ni nini mana kuna baadhi ya vipimo nimefanya na nikaonekana niko sawa.
JE VIDONDA VYA TUMBO INAWEZA IKAWA NDIO SABABU.
Nahitaj msaada tafadhali.
Kama nikiwa na msongo wa mawazo basi tumbo linanisumbua likiambatana na maumivu makali ya kiuno. Pia nimepata tatizo lingine la macho ambapo nilikuwa na maumivu makali sana kutoka na mwanga.
Na sasa nimepatiwa miwani ya macho +5 flash light, lakini nikivua hata sekund 20, kesho yake naamka na maumivu makali ya kichwa.
Pia nimekuwa na tatizo la joint za miguu kuishiwa nguvu.sasa sielew tatizo ni nini mana kuna baadhi ya vipimo nimefanya na nikaonekana niko sawa.
JE VIDONDA VYA TUMBO INAWEZA IKAWA NDIO SABABU.
Nahitaj msaada tafadhali.