mimi ela
Senior Member
- Nov 9, 2017
- 162
- 92
Tutafute ela,
Kama ilivyo ada wanajopo pamoja na vyuma kuwa kigezo cha kuendelea kuuza nyago au kuwafanya watu baadhi wadange hapa mjini na kwingineko,sio siri mziki tunaufeel kulingana na midundo..iko waziii
Basi niende kwenye tatizo binafsi ambalo silipatii picha na huwa linajirudia sana,,,tatizo la macho kila nikijaribu kufungua waleti,hapo walet ni ya Gucci mpyaaa!!
Kila nikifungua wallet sioni kabisa sielewi kwanini na huwa napona kwa muda na nikiona kwenye wallet mbona Vegas naiona bongo,
Kimbembe sasa ni pale nijaribupo kufungua zaidi na zaidi hahhaa tatizo linakua palepale la kutokuona ela
Ushauri jameni
Mimi ela
Kama ilivyo ada wanajopo pamoja na vyuma kuwa kigezo cha kuendelea kuuza nyago au kuwafanya watu baadhi wadange hapa mjini na kwingineko,sio siri mziki tunaufeel kulingana na midundo..iko waziii
Basi niende kwenye tatizo binafsi ambalo silipatii picha na huwa linajirudia sana,,,tatizo la macho kila nikijaribu kufungua waleti,hapo walet ni ya Gucci mpyaaa!!
Kila nikifungua wallet sioni kabisa sielewi kwanini na huwa napona kwa muda na nikiona kwenye wallet mbona Vegas naiona bongo,
Kimbembe sasa ni pale nijaribupo kufungua zaidi na zaidi hahhaa tatizo linakua palepale la kutokuona ela
Ushauri jameni
Mimi ela