LGE2024 Tatizo la maji kwa nchi iliyobarikiwa vyanzo vingi kama Tanzania, linatatiza sana moyoni mwangu

LGE2024 Tatizo la maji kwa nchi iliyobarikiwa vyanzo vingi kama Tanzania, linatatiza sana moyoni mwangu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Maji ni muhimu sana kwa maisha ya viumbe hai.

Sasa inapotokea huduma hii haipatikana tena kwa nchi iliyobarikiwa vyanzo vingi vya maji kama Tanzania, natatizika sana moyoni mwangu.

Wenzangu watanzania weusi mliopewa dhamana ya kuzisimamia rasilimali za nchi hii basi niwaombe tu kuwa mtimize wajibu wenu.

Waziri Aweso na watendaji wakuu wote wizara ya maji mlitakiwa hadi muda huu msiwepo ofisini.

Ni ipi fahari yenu na wakati hakuna kazi mnafanya?

IMG_8487.jpeg


Nina siku ya pili siendi chooni. Hakuna kuoga; Napiga mswaki na maji ya Hill.
 
Mwakani tumia akili yako vizuri, kuchagua kiongozi ambaye atashuhulikia na kusimamia changamoto hizi. Miaka zaidi 60 ya uhuru ni aibu kwa taifa kulia lia kwa changamoto kama hizi kwa nchi yenye resources nyingi za maji kama hii.
 
Mwakani tumia akili yako vizuri, kuchagua kiongozi ambaye atashuhulikia na kusimamia changamoto hizi. Miaka zaidi 60 ya uhuru ni aibu kwa taifa kulia lia kwa changamoto kama hizi kwa nchi yenye resources nyingi za maji kama hii.
Goli la mkono halitakuepo?
 
Maji ni muhimu sana kwa maisha ya viumbe hai.

Sasa inapotokea huduma hii haipatikana tena kwa nchi iliyobarikiwa vyanzo vingi vya maji kama Tanzania, natatizika sana moyoni mwangu.

Wenzangu watanzania weusi mliopewa dhamana ya kuzisimamia rasilimali za nchi hii basi niwaombe tu kuwa mtimize wajibu wenu.

Waziri Aweso na watendaji wakuu wote wizara ya maji mlitakiwa hadi muda huu msiwepo ofisini.

Ni ipi fahari yenu na wakati hakuna kazi mnafanya?

View attachment 3134196

Nina siku ya pili siendi chooni. Hakuna kuoga; Napiga mswaki na maji ya Hill.
Bila kuwepo tatizo la maji kwenye kampeni za uchaguzi mkuu watakuahidi nini?
 
Si Bora hata Huyo Waziri, vipi aliyemleta Waziri yeye ndo mnamounaje ama mnaamua kuuzunguka mbuyu kiaina?
 
Tanzania hakuna tatizo la maji, Kuna tatizo la akili!

Kunajuwaje na tatizo la maji sehemu yenye vyanzo vyote hivi? Ikiwa Egypt wanapata maji majumbani hadi wanasaza unasemaje Tanzania Kuna shida ya maji. Tanzania tuna shida ya akili
 
Maji ni muhimu sana kwa maisha ya viumbe hai.

Sasa inapotokea huduma hii haipatikana tena kwa nchi iliyobarikiwa vyanzo vingi vya maji kama Tanzania, natatizika sana moyoni mwangu.

Wenzangu watanzania weusi mliopewa dhamana ya kuzisimamia rasilimali za nchi hii basi niwaombe tu kuwa mtimize wajibu wenu.

Waziri Aweso na watendaji wakuu wote wizara ya maji mlitakiwa hadi muda huu msiwepo ofisini.

Ni ipi fahari yenu na wakati hakuna kazi mnafanya?

View attachment 3134196

Nina siku ya pili siendi chooni. Hakuna kuoga; Napiga mswaki na maji ya Hill.
Huwa naangalia maji mamilioni ya lita yanayo mwagika baharini kila siku halafu hata hapo beach hakuna maji ya bomba.
Aliyeturoga kafa.
 
Back
Top Bottom