Tatizo la Maji Nairobi; Biashara ya kubadilisha maji kwa Sex yashamiri

Tatizo la Maji Nairobi; Biashara ya kubadilisha maji kwa Sex yashamiri


MY TAKE; Jiji halina mahitaji ya msingi Kama maji, lakini Kuna watu kila siku wanafurahia kuwepo kwa ofisi za UN na makampuni makubwa ya nchi za magharibi, hivi wakenya akili zenu zina matatizo gani?
Tony254
dyfre
NairobiWalker
IamLee

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
@Tony254 unaona faida za siasa za Ujamaa vs Ubepari?. Katika Ujamaa' tunaamini kwamba binadamu wote ni sawa katika mahitaji ya msingi, kwahiyo serikali inawajibika kuhakikisha kwamba, kwa wale watu wa kipato cha chini kabisa, japo wanaweza kupata mahitaji muhimu Kama maji bila kulazimika kuuza miili Yao.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
@Tony254 unaona faida za siasa za Ujamaa vs Ubepari?. Katika Ujamaa' tunaamini kwamba binadamu wote ni sawa katika mahitaji ya msingi, kwahiyo serikali inawajibika kuhakikisha kwamba, kwa wale watu wa kipato cha chini kabisa, japo wanaweza kupata mahitaji muhimu Kama maji bila kulazimika kuuza miili Yao.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Mimi hata sijaangali hiyo doc, maana tayari nimeshindwa kudhibiti hisia zangu. Nimejawa na hasira.
 

MY TAKE; Jiji halina mahitaji ya msingi Kama maji, lakini Kuna watu kila siku wanafurahia kuwepo kwa ofisi za UN na makampuni makubwa ya nchi za magharibi, hivi wakenya akili zenu zina matatizo gani?
Tony254
dyfre
NairobiWalker
IamLee

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hawa watu they are in love with cosmetic development hiyo ndio mentality yao kuwekeza kwenye vitu muhimu ambavyo vitabeba uchumi hawawezi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom