joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kenya ni nchi ya hovyo Sana hapa duniani, ona jinsi wanavyoteswa huko Arabuni, serikali Yao haisemi lolote kuhusu mauji yanayofanywa kwa raia wakehawa ndo hudai power coverage in Kunyaland is 85%! Kenya is a mad people land!
@Tony254 unaona faida za siasa za Ujamaa vs Ubepari?. Katika Ujamaa' tunaamini kwamba binadamu wote ni sawa katika mahitaji ya msingi, kwahiyo serikali inawajibika kuhakikisha kwamba, kwa wale watu wa kipato cha chini kabisa, japo wanaweza kupata mahitaji muhimu Kama maji bila kulazimika kuuza miili Yao.MY TAKE; Jiji halina mahitaji ya msingi Kama maji, lakini Kuna watu kila siku wanafurahia kuwepo kwa ofisi za UN na makampuni makubwa ya nchi za magharibi, hivi wakenya akili zenu zina matatizo gani?
Tony254
dyfre
NairobiWalker
IamLee
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
@Tony254 unaona faida za siasa za Ujamaa vs Ubepari?. Katika Ujamaa' tunaamini kwamba binadamu wote ni sawa katika mahitaji ya msingi, kwahiyo serikali inawajibika kuhakikisha kwamba, kwa wale watu wa kipato cha chini kabisa, japo wanaweza kupata mahitaji muhimu Kama maji bila kulazimika kuuza miili Yao.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hawa watu they are in love with cosmetic development hiyo ndio mentality yao kuwekeza kwenye vitu muhimu ambavyo vitabeba uchumi hawawezi.MY TAKE; Jiji halina mahitaji ya msingi Kama maji, lakini Kuna watu kila siku wanafurahia kuwepo kwa ofisi za UN na makampuni makubwa ya nchi za magharibi, hivi wakenya akili zenu zina matatizo gani?
Tony254
dyfre
NairobiWalker
IamLee
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hawa ni kupenda sifa tu, lakini nchi Yao ni miongoni mwa nchi za hovyo Sana hapa AfrikaHawa watu they are in love with cosmetic development hiyo ndio mentality yao kuwekeza kwenye vitu muhimu ambavyo vitabeba uchumi hawawezi.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app