Tatizo la Maji Wilaya ya Sengerema lina takribani miezi 3 sasa

Tatizo la Maji Wilaya ya Sengerema lina takribani miezi 3 sasa

Mzee

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2011
Posts
13,602
Reaction score
5,809
Habari za Jioni.

Naomba kuwasilisha kilio cha Tatizo la Maji Wilaya ya Sengerema. Ni takribani Miezi mitatu sasa kumekuwa na tatizo Sugu la Maji.

Maji yanatoka siku moja, yanakatika Wiki 2. Sengerema ni Wilaya ambayo ipo Jirani na Ziwa Victoria, imezungukwa na Ziwa Victoria. Hakuna sababu ya wakazi wa Sengerema kuteseka kisa Maji.

Nawasilisha.
 
Duh, sijui wanaoishi jangwani wanatuonaje.
... mayahudi ungewakabidhi mkoa kama Dodoma tunaoamini ni mkoa kame kabisa nchini ukawa kama nchi yao; ndani ya miaka 10 tu itakuwa nchi inayoongoza duniani kwa export ya matunda, nyama, ndizi, maziwa, leather products, fresh drinking water, na uranium iko hapo Bahi daaah! Utajiri wa bure kabisa; wangeuza umeme Afrika nzima. Ngozi nyeusi bure kabisa!
 
... mayahudi ungewakabidhi mkoa kama Dodoma tunaoamini ni mkoa kame kabisa nchini ukawa kama nchi yao; ndani ya miaka 10 tu itakuwa nchi inayoongoza duniani kwa export ya matunda, nyama, ndizi, maziwa, leather products, fresh drinking water, na uranium iko hapo Bahi daaah! Utajiri wa bure kabisa; wangeuza umeme Afrika nzima. Ngozi nyeusi bure kabisa!
We acha tu,sijui tuna laana gani
 
huko ndio kuna yule mbunge aliewaambia wasomi ajira hakuna?
Ndio huko.kwenye sekta ya maji ndio kuna upigaji wa kufa mtu, waziri wake mihemko mingi sana lakini hakuna kitu!!ni uozo mtupu, hapo sengerema alikuja akawatia ndani viongozi wa mamlaka ya maji, akasema kuwa wanamfanyia hujuma!!je na hao aliowaweka nao ni hujuma??anaenda sehemu anatoa siku tatu maji yatoke, huku ukiangalia kazi iliyopo hata ndani ya wiki tatu haiwezi kuisha, ili kwenye tv aonekane anafanya kazi!!!
 
Ndio huko.kwenye sekta ya maji ndio kuna upigaji wa kufa mtu, waziri wake mihemko mingi sana lakini hakuna kitu!!ni uozo mtupu, hapo sengerema alikuja akawatia ndani viongozi wa mamlaka ya maji, akasema kuwa wanamfanyia hujuma!!je na hao aliowaweka nao ni hujuma??anaenda sehemu anatoa siku tatu maji yatoke, huku ukiangalia kazi iliyopo hata ndani ya wiki tatu haiwezi kuisha, ili kwenye tv aonekane anafanya kazi!!!
Amewatia ndani ndio tatizo limekuwa kubwa zaidi. Mwanzoni maji yalikuwa yanakatwa kila siku Saa 4 Usiku mpaka Saa 12 Asubuhi.


Lakini Siku hizi yana katika hata Mwezi Mzima hakuna Maji. Wakati Sengerema imezungukwa na ziwa Victoria.
 
Poleni sana... Mamlaka zitalishughulikia hilo...
Mamlaka zinashughulikia nini tatizo limekuwa Sugu. Maji yakitoka watu tunaacha Shughuli zote ili tukachote maji
 
Mh. Hamisi Tabasamu, tunamuomba aliingilie hili Swala. Wakazi wa Sengerema tunateseka sana.
... huyu ndiye yule aliomba mwongozo wa mavazi ya yule mdada mbunge wa Momba? Kama ndiye, hamna kitu mule; mmeula wa chuya!
 
Amewatia ndani ndio tatizo limekuwa kubwa zaidi. Mwanzoni maji yalikuwa yanakatwa kila siku Saa 4 Usiku mpaka Saa 12 Asubuhi.


Lakini Siku hizi yana katika hata Mwezi Mzima hakuna Maji. Wakati Sengerema imezungukwa na ziwa Victoria.
Huwezi kutatua tatizo la kiufundi kwa matamko ya kisiasa!!halafu cha ajabu kwenye awamu ya tano waziri wake, Aweso alionekana kama shujaa kwa meko kwa kujisifia kuwa kero za maji zimepata dawa!!lakini kumbe sivyo!!hadi MH SAMIA, alipomwambia ukweli kuwa haridhishwi na wizara hiyo!!sasa kila leo ni kukimbia kimbia tu, na kufukuza watendaji ovyo tu.lakini matatizo yako vile vile
 
... huyu ndiye yule aliomba mwongozo wa mavazi ya yule mdada mbunge wa Momba? Kama ndiye, hamna kitu mule; mmeula wa chuya!
Sidhani kama ni huyu.
 
Huwezi kutatua tatizo la kiufundi kwa matamko ya kisiasa!!halafu cha ajabu kwenye awamu ya tano waziri wake, Aweso alionekana kama shujaa kwa meko kwa kujisifia kuwa kero za maji zimepata dawa!!lakini kumbe sivyo!!hadi MH SAMIA, alipomwambia ukweli kuwa haridhishwi na wizara hiyo!!sasa kila leo ni kukimbia kimbia tu, na kufukuza watendaji ovyo tu.lakini matatizo yako vile vile
Katika Mawaziri Janja Janja ni pamoja na huyu Jamaa.....


Yaani Sengerema tunazungukwa na Ziwa lkn hakuna Maji,
 
Back
Top Bottom