Tatizo la matokeo mabaya ya Simba SC ni viongozi viburi na ubahili kwenye sajili

Tatizo la matokeo mabaya ya Simba SC ni viongozi viburi na ubahili kwenye sajili

PRINCE CROWN

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,210
Reaction score
4,175
Waswahili walisema Ukipanda mchicha usitegemee kuvuna mahindi. Huu ni usemi Ambao unadhihirika kwenye timu yetu ya Simba.

1. UBAHILI
2. KIBURI
3. KUTOKUSIKILIZA USHAURI

Hakuna timu Ambayo imesajili quality players Isipate matokeo Mazuri Uwanjani. Ukisajili vizuri utapata matokeo mazuri.

UBAHILI na kutokua na maamuzi ya haraka kwenye usajili ndio chanzo cha kupata wachezaji kama wakina sawa dogo. Ili upate wachezaji wazuri ni lazima utumie hela.

Tulimkosa Adebayo, Manzoki, Azizik pamoja na Khalid Aucho kwa sababu ya UBAHILI na Uzembe wa VIONGOZI.

Hatuwezi kumbebesha msalaba coach wakati tunajua kabisa kwamba hatuna wa chezaji wazuri kama walio nao Yanga.

KIBURI
Nakutikuwasikiliza washabi juu ya Coach wa viungo ndio matokeo ya Wachezaji kukosa Fitness uwanjani.

Tulipiga kelele mrudisheni Zerane Yule bwana Aliwatengeneza wachezaji ubora na utimamu wa mwili wachezaji wakawa na ubora kwa miaka 4 mfululizo mkaziba masikio.

Hivi kweli Unamwacha Tadeo lwanga unamsajili sawadogo?

Nimalizie kwa kusema kama VIONGOZI watazidi kuwa na viburi na UBAHILI basi Yanga Atachukua Ubingwa hata x 10 Mfululizo.

Yanga wana VIONGOZI smart sana na wanajua nini Maana ya Quality players. Sisi Midomotu.
 
Siku hizi mashabiki wa soka ni wapole kupitiliza. Enzi zile wewe kiongozi ukileta ujinga pale Msimbazi au Jangwani tafuta pa kukimbilia mapema, maana kesho yake watu watakuja na mzigo wa bakora na mawe. Ila sasa hivi wanatuona sisi wanachama na mashabiki ni misukule mitupu.
 
Kwahiyo kila mchezaji mzuri mumtake nyie halafu wengine wasajili kina nani?

Yaani mmeanza kulalamika kwa Yanga kufanya vizuri tu msimu mmoja huu? Yanga bado anapaswa alipe deni la wanachama na mashabiki wake kuukosa ubingwa kwa miaka minne, amebakiza kuchukua ubingwa mara 3 ili awalipe mlichokifanya kwa miaka minne,baada ya hapo ndipo muanze moja sasa.

Kaa kwa kutulia mkuu maumivu bado yanawahusu sana kwa mfululizo wa miaka 3,baada ya Yanga kulipa deni ndipo tutaanza upya.

Maumivu yakizidi muone Nabi.
 
Kwahiyo kila mchezaji mzuri mumtake nyie halafu wengine wasajili kina nani?.

Yaani mmeanza kulalamika kwa Yanga kufanya vizuri tu msimu mmoja huu?,Yanga bado anapaswa alipe deni la wanachama na mashabiki wake kuukosa ubingwa kwa miaka minne,amebakiza kuchukua ubingwa mara 3 ili awalipe mlichokifanya kwa miaka minne,baada ya hapo ndipo muanze moja sasa.

Kaa kwa kutulia mkuu maumivu bado yanawahusu sana kwa mfululizo wa miaka 3,baada ya Yanga kulipa deni ndipo tutaanza upya.


Maumivu yakizidi muone Nabi.
Kabisa
 
.MATATIZO YA SIMBA NI HAYA...



1. Kamati ya usajili IPO hovyo sana.

2. Quality ya Wachezaji.

3. MAKUNDI na mpasuko wa uchaguzi.

4. Mwamedi na ingia TOKA.


SIO KUTULETEA AKINA DEJAN.

Wachezaji wa kigeni Mizigo.

Mohamed Ottara.

Peter Banda.

Ismail Sawadogo.

Joash Onyango

Augustine OCCRA

Sadio Kanute.

Baleke na Phili wananipa wasiswasi sana

SINA MUDA WA KUANDIKA SANA
 
.MATATIZO YA SIMBA NI HAYA...



1. Kamati ya usajili IPO hovyo sana.

2. Quality ya Wachezaji.

3. MAKUNDI na mpasuko wa uchaguzi.

4. Mwamedi na ingia TOKA.


SIO KUTULETEA AKINA DEJAN.

Wachezaji wa kigeni Mizigo.

Mohamed Ottara.

Peter Banda.

Ismail Sawadogo.

Joash Onyango

Augustine OCCRA

Sadio Kanute.

Baleke na Phili wananipa wasiswasi sana

SINA MUDA WA KUANDIKA SANA
 
.MATATIZO YA SIMBA NI HAYA...



1. Kamati ya usajili IPO hovyo sana.

2. Quality ya Wachezaji.

3. MAKUNDI na mpasuko wa uchaguzi.

4. Mwamedi na ingia TOKA.


SIO KUTULETEA AKINA DEJAN.

Wachezaji wa kigeni Mizigo.

Mohamed Ottara.

Peter Banda.

Ismail Sawadogo.

Joash Onyango

Augustine OCCRA

Sadio Kanute.

Baleke na Phili wananipa wasiswasi sana

SINA MUDA WA KUANDIKA SANA
Sio kwa ubaya, ila ww jamaa una matatizo ya akili.
 
Wanasimba muwe wavumilivu tuwaunge mkono wachezaji katika kipindi hiki cha mashindano..tuwape motisha baada ya hapo ndo kisanuke..
 
.MATATIZO YA SIMBA NI HAYA...



1. Kamati ya usajili IPO hovyo sana.

2. Quality ya Wachezaji.

3. MAKUNDI na mpasuko wa uchaguzi.

4. Mwamedi na ingia TOKA.


SIO KUTULETEA AKINA DEJAN.

Wachezaji wa kigeni Mizigo.

Mohamed Ottara.

Peter Banda.

Ismail Sawadogo.

Joash Onyango

Augustine OCCRA

Sadio Kanute.

Baleke na Phili wananipa wasiswasi sana

SINA MUDA WA KUANDIKA SANA
No.1&4 ndo shida ya Simba Kwa Sasa. Tajiri mara asuse mara arudi.
 
Back
Top Bottom