kashimir Mussa
Member
- Apr 26, 2018
- 27
- 3
Tell him to go to the specialist (doctor), that will work accuratelyhe is sereous Anaomba solution this is Not joking?
[emoji121]habari wana JF
Nina rafiki yangu hapa anatatizo hili la kujihisi anapata maumivu kwenye sehemu za Kende(testes) yapita mwezi mmoja ana Tatizo hili na pia sasaivi Amekuwa hana ashi sana ya mapenzi kama Awali..je Tatizo hili limetokana na nini nimeamua nilifikishe kwa wa Jf wenzangu???
Mwambie awahi hospital kuna mchizi wangu amefariki february kwa tatizo la maumivu ya kende ila alichukulia poa,alipozidiwa baada ya miezi minne hospital wakamwambia alichelewa mnohabari wana JF
Nina rafiki yangu hapa anatatizo hili la kujihisi anapata maumivu kwenye sehemu za Kende(testes) yapita mwezi mmoja ana Tatizo hili na pia sasaivi Amekuwa hana ashi sana ya mapenzi kama Awali..je Tatizo hili limetokana na nini nimeamua nilifikishe kwa wa Jf wenzangu???
Nenda hospital mkuu,habari wana JF
Jamani mimi nina tatizo hapa la kujihisi napata maumivu kwenye sehemu za Kende(testes) yapita mwezi mmoja nina Tatizo hili na pia sasaivi nimekuwa hana ashiki sina sana ya mapenzi kama Awali..je Tatizo hili limetokana na nini nimeamua nilifikishe kwa wa Jf wenzangu???