Tatizo la mawasiliano nchini kwa sasa, Je ni bahati mbaya?

Tatizo la mawasiliano nchini kwa sasa, Je ni bahati mbaya?

Wa angani

Senior Member
Joined
Aug 1, 2020
Posts
108
Reaction score
265
Habari za mwaka mpya wakuu, Kumekua na changamoto ya mawasiliano hapa nchini, kama mwaka mzima sasa, hususani kwenye mawasiliano ya kupiga/kupokea simu, kutuma/kupokea ujumbe wa maandishi, na kuperuzi kwenye mtandao wa internet, je hili suala litakua linasababishwa na nini, ni ubovu wa miundo mbinu ya mawasiliano, au ni weledi mdogo wa wafanyakazi wa idara husika au kuna jambo lingine nyuma ya pazia, kwa mfano mimi kulingana na uelewa wangu mdogo, inawezekana kuna udukuzi mkubwa unaendelea, hasahasa kipindi hiki ambacho tunaelekea kufanya maamuzi muhimu, maana kuwasiliana sasa muda mwingine imekua kero, tofauti na miaka kadhaa nyuma. nawasilisha.
 
Habari za mwaka mpya wakuu, Kumekua na changamoto ya mawasiliano hapa nchini, kama mwaka mzima sasa, hususani kwenye mawasiliano ya kupiga/kupokea simu, kutuma/kupokea ujumbe wa maandishi, na kuperuzi kwenye mtandao wa internet, je hili suala litakua linasababishwa na nini, ni ubovu wa miundo mbinu ya mawasiliano, au ni weledi mdogo wa wafanyakazi wa idara husika au kuna jambo lingine nyuma ya pazia, kwa mfano mimi kulingana na uelewa wangu mdogo, inawezekana kuna udukuzi mkubwa unaendelea, hasahasa kipindi hiki ambacho tunaelekea kufanya maamuzi muhimu, maana kuwasiliana sasa muda mwingine imekua kero, tofauti na miaka kadhaa nyuma. nawasilisha.
Kuna Ukweli kuhusu Hoja hii.
Naona tatizo ni Udukuzi wa mawasiliano ya watu uliopindukia. Mawasiliano ya kimtandao kwa sasa yamekuwa yakiingiliwa Sana kwa kudukuliwa.
 
Habari za mwaka mpya wakuu, Kumekua na changamoto ya mawasiliano hapa nchini, kama mwaka mzima sasa, hususani kwenye mawasiliano ya kupiga/kupokea simu, kutuma/kupokea ujumbe wa maandishi, na kuperuzi kwenye mtandao wa internet, je hili suala litakua linasababishwa na nini, ni ubovu wa miundo mbinu ya mawasiliano, au ni weledi mdogo wa wafanyakazi wa idara husika au kuna jambo lingine nyuma ya pazia, kwa mfano mimi kulingana na uelewa wangu mdogo, inawezekana kuna udukuzi mkubwa unaendelea, hasahasa kipindi hiki ambacho tunaelekea kufanya maamuzi muhimu, maana kuwasiliana sasa muda mwingine imekua kero, tofauti na miaka kadhaa nyuma. nawasilisha.
Udukuzi unaingiliana vipi na kuyumba Kwa mawasiliano? Je ni udukuzi Gani ? Labda uongelee DDos lakini ilishatokea kwenye mtandao Gani ?

Kipindi cable zimekatika baharini sawa lakini zaidi ya hapo ungetueleza kama ni simu au ni kifaa Gani cha mawasiliano ulichokuwa ukitumia, na ulikuwa ukitumia mtandao Gani ?

Mana internet speed ilikuwa fresh tu sms, calls zilikuwa fresh labda halotel kwenye upande wa delay lakini sio provider wote, kwahiyo toa maelezo vizuri sio juu juu unakuwa unaelea hatutakuelewa vizuri, yawezekana shida hasa ni wewe.
 
Udukuzi ndio ulete Slowness ya mtandao?
Mbona hakuna details za Kuelewaka hapa kuna wakati Cable zilikatika Baharini na Tulikuwa informed na tatizo lilikuwa ukanda karibia wote wa East africa
 
Back
Top Bottom