Tatizo la mba

Washawasha

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2006
Posts
16,717
Reaction score
13,176
Habari zenu wana JF, binafsi nina tatizo la mba kichwani kwa zaidi ya miaka 10 sasa tatizo ambalo linaninyima raha.

Nimetumia shampoo tofauti tofauti bila mafanikio, nifanyeje kuondokana na tatizo hilo?
 
Hili ni tatizo la wengi, naamini kuna mtu ataweza walau kukuelekeza sehemu ya kumpata 'skin specialist' na kama yupo hapa JF basi atakupa maelekezo ya nini ufanye.

Pole mkuu
 
Hili ni tatizo la wengi, naamini kuna mtu ataweza walau kukuelekeza sehemu ya kumpata 'skin specialist' na kama yupo hapa JF basi atakupa maelekezo ya nini ufanye.
Pole mkuu
nitapoa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…