Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Hili ni tatizo la wengi, naamini kuna mtu ataweza walau kukuelekeza sehemu ya kumpata 'skin specialist'
Limewahi kunisumbua, nilibadili aina ya mafuta ya kutumia kwa nywele.Na wewe linakusumbua?
nitapoa mkuuHili ni tatizo la wengi, naamini kuna mtu ataweza walau kukuelekeza sehemu ya kumpata 'skin specialist' na kama yupo hapa JF basi atakupa maelekezo ya nini ufanye.
Pole mkuu