nakushauri muone Daktari wa meno,,1.atasaidia kujua kisababishi 2.atapendekeza tiba sahihi, pale itakapoitajika.
kwa biology yangu , hii kitu inaweza kusababishwa na Vitu vingi kama vile upungufu wa vitamin k, vitamin C, upungufu wa chembe sahani, uhaba wa protein zinazosaidia damu kuganda mwilini pale in apoitajika, maambukizi Kwenye fizi etc.Pia ukizangatia ni tatizo la muda mrefu)(zaidi ya miaka 20)uwezekano wa visabibishi vikawa Kwenye
vinasaba(genetic). nakushauri uende kwa Daktari kwa uchunguzi na ushauri,,