ndugu nimeng'oa meno mara nne licha ya kufanya dental clinin kila baada ya miezi mitatu lakini bado meno yananisumbua. Yanauma. Sitaki kun'goa tena naombeni mniambie ni dawa gani inatanisaidia kufanya meno yangu yasiume. Iwe dawa ya kisuna au ya kihospitali nitainunua kwa gharama yoyote. Naomba kuwasilisha