Tatizo la mfumo wa umeme wa gari

Tatizo la mfumo wa umeme wa gari

  • Thread starter Thread starter RR
  • Start date Start date

RR

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2007
Posts
6,968
Reaction score
2,035
Habari zenu wanajamii,
Kuna gari ina tatizo ambalo nashindwa kulielewa/kulielezea sawa sawa.
Ni kwamba radio ya gari inazima (inakosa umeme?) baada ya muda fulani. Nikichomoa terminals za betri inafanya kazi, ila baada ya muda tatizo linarudi.
Radio inakua kama haipati umeme kabisa.
Kuna mwenye wazo juu ya tatizo hili ama ajuaye fundi anayeweza ku-trouble shoot tatizo hilo?

Nishajaribu mafundi umeme wawili watatu bila kupata suluhu
Gari ni toyota wish.
RR
 
Nadhani tatizo ni radio Mkuu. Kuna vifaa vinapata moto kiasi cha kushindwa kusambaza umeme wa radio na hapo ndipo ufail. Ukichomoa terminals inakubali kwa sababu imepata nafasi ya kujipooza. Kwa ufahamu wangu mdogo ni hayo na ishawahi kunitokea isipokuwa yangu radio yake ilikuwa haizimi kabisa ila inaanza na kukoroma then inakaa kimya.
 
  • Thanks
Reactions: RR
Nadhani tatizo ni radio Mkuu. Kuna vifaa vinapata moto kiasi cha kushindwa kusambaza umeme wa radio na hapo ndipo ufail. Ukichomoa terminals inakubali kwa sababu imepata nafasi ya kujipooza. Kwa ufahamu wangu mdogo ni hayo na ishawahi kunitokea isipokuwa yangu radio yake ilikuwa haizimi kabisa ila inaanza na kukoroma then inakaa kimya.
Inawezekana mkuu, japo najiuliza mbona hata nikiiacha muda mrefu haiwaki hadi nitoe terminal?
 
Kuna huyu dogo mzuri kwa umeme ila pombe ndio mwake, akianza kazi mkazie asikuache akapate viroba [emoji16][emoji16]. +255718115541
 
Kuna huyu dogo mzuri kwa umeme ila pombe ndio mwake, akianza kazi mkazie asikuache akapate viroba [emoji16][emoji16]. +255718115541
Anapatikana wapi?
 
Habari zenu wanajamii,
Kuna gari ina tatizo ambalo nashindwa kulielewa/kulielezea sawa sawa.
Ni kwamba radio ya gari inazima (inakosa umeme?) baada ya muda fulani. Nikichomoa terminals za betri inafanya kazi, ila baada ya muda tatizo linarudi.
Radio inakua kama haipati umeme kabisa.
Kuna mwenye wazo juu ya tatizo hili ama ajuaye fundi anayeweza ku-trouble shoot tatizo hilo?

Nishajaribu mafundi umeme wawili watatu bila kupata suluhu
Gari ni toyota wish.
RR
Hapo kwa upande wangu kuna mambo mawili..kwanza inabidi ujue ukizima gari huwa radio inazima?.
Maana radio huwa na moto wa acc na switch on.so isije ikawa haina moto wa acc bali imeungwa moto direct hivyo radio ikawa inapata sana moto maana hata ukizima gari yenyewe inaendelea kupata moto ndio maana ukitoa betri na kuludisha inawaka.


Jambo la pili je unatumia radio aina gani?ni ile original ya kuja na gari ambayo huwa inakuwa na mfumo w navigation??.

Kama ndio je cd yake ya navigation ipo au ushaitupa??.

Unapatikana wapi ?kama upo dar waweza nitafuta nikakusaidia.
Coz ni fund umeme wa magari
 
  • Thanks
Reactions: RR
Nikizima gari radio inazima? Nadhani ndiyo....ina ile standby button, nikiwasha gari ndo inawaka, endapo sikuizima radio kabla ya kuzima gari.....
Radio ni Kenwood, ilikuja na gari toka Japan....haina mfumo wa navigation.
Muda mwingi nakua Dar.
Asante, naweza kukutafuta ikiwa ni muafaka kwako.


Hapo kwa upande wangu kuna mambo mawili..kwanza inabidi ujue ukizima gari huwa radio inazima?.
Maana radio huwa na moto wa acc na switch on.so isije ikawa haina moto wa acc bali imeungwa moto direct hivyo radio ikawa inapata sana moto maana hata ukizima gari yenyewe inaendelea kupata moto ndio maana ukitoa betri na kuludisha inawaka.


Jambo la pili je unatumia radio aina gani?ni ile original ya kuja na gari ambayo huwa inakuwa na mfumo w navigation??.

Kama ndio je cd yake ya navigation ipo au ushaitupa??.

Unapatikana wapi ?kama upo dar waweza nitafuta nikakusaidia.
Coz ni fund umeme wa magari
 
Back
Top Bottom