Tatizo la midomo kuungua kwa ndani

mmbangaya

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2015
Posts
997
Reaction score
1,765
Salaam Jf.,
Naomba msaada wa mwenye kujua tatizo la midomo kuungua kwa ndani haswa sehemu ya juu.
Ni wiki ya Pili sasa naona midomo yangu imeungua kwa ndani haswa sehemu ya juu na kuna kama michubuko.
 
Badilisha dawa ya meno jaribu Colgate maxmum cavity protection
Then sukutua kwa maji mengi
Na kama unatumia Pombe Kali punguza kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…