Tatizo la milango kupasuka

Tatizo la milango kupasuka

Gramunyo

Member
Joined
Mar 23, 2018
Posts
45
Reaction score
18
Wakuu Naombeni ufahamu, fundi kaniwekea milango aina ya mkongo, baada ya wiki mbili imepasuka kama picha inavyoonyesha, naomba kujua tatizo ni nini na nitairekebishaje.

IMG-20221205-WA0015.jpg
IMG-20221205-WA0018.jpg
IMG-20221205-WA0016.jpg
 
Mfahamishe fundi aliyekuwekea
 
Huo sio mkongo fundi kakupiga boss,
 
Mafundi wengi wanatupiga coz wanajua hatujui kitu
 
Back
Top Bottom