ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Naomba kujua je huko nchi zilizoendelea na penyewe watu bado wanapeana mimba zisizotarajiwa kwa sababu tu ya kunogewa na penzi au huko walishatoka hio level na kwamba Lazima mimba ipangwe.
Huku kwetu ni kawaida mwanaume huna hili wala lile unashangaa Unaletewa Habari ya ujauzito ok nataka nijue km na huko mambele kuna hio kasumba.
Huku kwetu ni kawaida mwanaume huna hili wala lile unashangaa Unaletewa Habari ya ujauzito ok nataka nijue km na huko mambele kuna hio kasumba.