Tatizo la minyoo/ safura hasa kwa watoto limetokomezwa nchini?

Tatizo la minyoo/ safura hasa kwa watoto limetokomezwa nchini?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kuna miaka ilikuwa mtoto akionekana mbishi wa kula, amezubaa zubaa au goigoi sana wazazi wanaambiana inawezekana ana minyoo na mara moja atapewa dawa za minyoo bila hata kumuona daktari, ila umepita muda mrefu sana sioni watoto wakipewa dawa za minyoo/ safura tena!

Nafikiri hata kipindi fulani shuleni watoto walipokuwa wanapewa chanjo za vitamin A walikuwa wanapewa na dawa za minyoo pia.

Minyoo imetokomezwa nchini?
 
Huwezi kuwatokomeza Necator americanus na Ancylostoma duodenale. Hawa huwa wapo tu.

Sidhani Kama kuna mtanzania ambaye hana uwezo wa kununua dawa ya kutibu hookworms.
 
Back
Top Bottom