Tatizo la moyo kudunda vibaya

Sauti ya Mamlaka

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2017
Posts
1,601
Reaction score
2,354
Hivi karibun nimepata tatzo la moyo kuwa unapga vbaya wataalam mliopo humu naomba msaada kujua nifanyeje coz inanipa wasi wasi sana hali hii

Natanguliza shukrani
 
Epuka kahawa ,pombe , sigara , vyakula vya pilipili nyingi na energy drinks pia fika hospitali upimwe sababu kuna visababishi vingi vya moyo kupiga kwa nguvu kama wingi wa hormone ya thyroid , upungufu wa damu , magonjwa ya moyo
 
Epuka kahawa ,pombe , sigara , vyakula vya pilipili nyingi na energy drinks pia fika hospitali upimwe sababu kuna visababishi vingi vya moyo kupiga kwa nguvu kama wingi wa hormone ya thyroid , upungufu wa damu , magonjwa ya moyo
Nashukuru mkuu kwa ushaur
 
Hiyo shida ya moyo kupiga bila mpangilio mzuri linaitwa arrhythmia. Lina tiba na dawa zake. Nenda hospitali.
 
Hivi karibun nimepata tatzo la moyo kuwa unapga vbaya wataalam mliopo humu naomba msaada kujua nifanyeje coz inanipa wasi wasi sana hali hii

Natanguliza shukrani
Wahi hospital watakufanyia vipimo vya msingi vya vital signs na vingine vikubwa. Ila kawaida wanaanza na vidogo kwa kuanzia Blood Pressure na Pulse Rate. Nina hakika PR itaonesha kuwa ni kubwa kama unaisikia kwa sasa. Pressure ndiyo sijui.

Then ukikuta pressure ni kubwa na PR kabla ya kukimbilia kumeza dawa za BP fanya utafuti kwanza kujua chanzo cha tatizo hivyo omba ufanye Thyroid Function Test inaitwa T.S.H na T3 na T4. Kama ziko sawa omba ifanye ECG na ECO hivi ni vya moyo haswa. Mpaka hapa ni lazima utagundua tatizo.

KAMA tatizo mpaka hapo halijagundulika omba ufanyike kipimo cha kupima stress hormones ( adrenal) kunaitwa Cortisol AM na PM =Cortisol hormone. Hiki kipimo kinasahaulika sana ila kinasumbua sana watu wengi na mpaka wanakuja kugundua wana tatizo unakuta damage kubwa sana imeshafanyika mwilini.

Ukishapima uniletee majibu PM nitakushauri mno na utafanikiwa.

Karibu.

N.B ukikuta una tatizo la thyroid nakushauri upime pia hiyo Cortisol Hormone. Mara kadhaa wenye thyroid problem (Hyperthyroidism au Hypothyroidism) wanakuwa na Cortisol Challenge low au high.
 
Vijana na hizo energy drinks zenu

Sijui km mtatoboa
 
Wahi hospital watakufanyia vipimo vya msingi vya vital signs na vingine vikubwa. Ila kawaida wanaanza na vidogo kwa kuanzia Blood Pressure na Pulse Rate. Nina hakika PR itaonesha kuwa ni kubwa kama unaisikia kwa sasa...
Nashukuru mkuu nimeambiwa nikafanye ECG maana pressure ipo kawaida na wing wa damu uko vzr
 
Nasoma comment maana pia yamenikuta hayo mara kadhaa tena katika Hali ambayo nko tu comfortable na sina stress.Ila nkipima pressure iko normal 110/80
Ila Ni mtumiaji mzur wa energy drinks ntajirekebisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…