Tatizo la msemo wa mvumilivu hula mbivu....

Tatizo la msemo wa mvumilivu hula mbivu....

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,129
Hausemi ni muda gani uvumilie ili ule ule zinazoitwa mbivu, pia hautoi uwezekano wa kukosa au kula zilizooza.
 
yamekukuta mkuu nini?

mkuu baada ya kukata tamaa na kuacha kumfatilia, anadai sina uvumilivu na ndivyo anavyowaambia wenzake. Sijui ilibid nivumilie mpaka lini ndipo nionekane mvumilivu.
 
Hilo neno lilinifanya nikambaka mpenzi wangu, tena bafuni kwa mkwe. Nimevumilia without specific deadline
 
Hilo neno lilinifanya nikambaka mpenzi wangu, tena bafuni kwa mkwe. Nimevumilia without specific period ya mpaka lini!

umenichekesha kweli, uvumilivu usio na deadline? Mwisho wa sikt atakuita zoba.
 
Sometimes babu zetu walipokua wanatunga misemo unajiuliza mtu hivi kulikua na two schools of thot?? Kwamba kundi hili likisema "mvumilivu hula mbivu" the other side wanasema "ngoja ngoja huumiza tumbo"...
 
Duh! jamani hamna subra vijana ungesubiri angekujia mwenyewe tena akija mwenyewe ndio unakula vitamu kuliko ukiwa na pupa.....
 
Sometimes babu zetu walipokua wanatunga misemo unajiuliza mtu hivi kulikua na two schools of thot?? Kwamba kundi hili likisema "mvumilivu hula mbivu" the other side wanasema "ngoja ngoja huumiza tumbo"...

ni full mikanganyiko, hapo hapo utbmbiwa "haraka haraka haina baraka"
 
Duh! jamani hamna subra vijana ungesubiri angekujia mwenyewe tena akija mwenyewe ndio unakula vitamu kuliko ukiwa na pupa.....

mkuu kuna kungoja milele then unakufa bila kelele kama wafuasi wa kibwetele.
 
mkuu baada ya kukata tamaa na kuacha kumfatilia, anadai sina uvumilivu na ndivyo anavyowaambia wenzake. Sijui ilibid nivumilie mpaka lini ndipo nionekane mvumilivu.

Ulitakiwa uvumilie hadi amchoke anayemkosha kwa sasa...
 
Pole sana ndg. Ila pengine kweli ulikuwa unataka kufakamia hata bila ya kunawa.
 
Back
Top Bottom