sbc fashion plus
Member
- Nov 22, 2020
- 23
- 11
Habari wadau,
Msaada Mwanangu anatapika na kuharisha na muda wote analala tu, naombeni mtu ambae ana experience na hii kitu.
Nimeenda hospitali mbili tofauti wamempatia madawa kunywa shida na akinywa muda si muda anatapika tena , hospitali walisema ana UTI na backeria tumboni sasa da anaendesha na kutapika na muda wote, amenyongonyea tu.
Namba yangu hiyo hapo 0712432619
Msaada Mwanangu anatapika na kuharisha na muda wote analala tu, naombeni mtu ambae ana experience na hii kitu.
Nimeenda hospitali mbili tofauti wamempatia madawa kunywa shida na akinywa muda si muda anatapika tena , hospitali walisema ana UTI na backeria tumboni sasa da anaendesha na kutapika na muda wote, amenyongonyea tu.
Namba yangu hiyo hapo 0712432619