Tatizo la mwanamke kiuno kuuma baada ya kusex

Mkuuu pole,, ushaur nenda hospital akapatiwe tiba...maumivu wakati au baada ya sex husababishwa namambo mengi sana mfano labda ana PID ( maambukizi ktk nyonga zake ).au IBS ,au endometriosis ...

Kwaufupi mwambie awahi mapema hospital.
Tisha sana
 
Maumivu ya kiuno mara baada ya kujamiiana ni tatizo la kawaida na lenye gharama..kwa kitaalamu inaitwa Lumbago na tiba pekee ni hospitali japo wapo wataalamu wa tiba mbadala wenye kutibu hiyo kitu..ila upatikanaji wake sasa dah!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…