Tatizo la mzunguko wa Hedhi

astefaith

Member
Joined
Nov 7, 2013
Posts
60
Reaction score
27
Habari zenu wadada wenzangu.mie naomba mnisaidie Mdogo wangu ana tatizo la kutokua na mzunguko mzuri Wa hedhi.Anaipata miezi 2 alafu inakata tena baada ya miezi 3 ndo anaiona tena.kwa madaktari naomba ushauri au mtu yoyote aliekua na tatizo kama la Mdogo Wangu akapona atusaidie.hospitali tumeenda anaambiwa kutumia majira.akitumia majira kweli anaingia kwenye mzunguko akiacha tu mzunguko unakata kama kuna mtu anajua dawa zaidi ya majira atusaidie.
 
Pole, ni hali ya kawaida. Iliwahi nipata na nilikua naona hata wiki 2 afu inakata miezi 4 hadi 6 ndo naona tena. Kwa sasa nipo kawaida kila mwezi naona.
 
Pole sana astefaith kwa kuuguliwa ila kama unapesa nunua forever multi-maca kwa sh.47,0000 atapona.kama unaweza ni PM
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…