Tatizo la ngozi kuwasha

uludodi

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2014
Posts
576
Reaction score
915
Msaada wenu ni kama wiki 1 imepita nililala na mwanamke sasa kuna mda uso wake ulikaa sana shingoni kwangu toka siku hiyo ile sehemu inaniwasha sana haiponi sasa naomba ushauri wenu bado sijatumia dawa yoyote
 
Nenda kwa daktari wa ngozi ni maambikizi ya kawaida ya fangas ,bakteria ,minyoo ngozi etc akikuangalia atajua ni ipi anakupa dawa wiki tu mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…