Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Asante mkuu kwa ushauri japo naogopa sana tiba za hospitalfanya mpango umuone daktari bingwa wa ngozi Dermatologist na ukianza matibabu fua nguo zote ulizotumia pamoja na mashuka na mataulo uyapige pasi. Kua mvumilivu matibabu yanaweza kuwa ni ya muda mrefu.
Hepatitis ndo ugonjwa gani kiongozia
mzee baba mbona kama dalili za hepatitis vile...........!!!!
Kwa hiyo ulikuja hapa ukitegemea utaalamu wa tiba mbadala?Asante mkuu kwa ushauri japo naogopa sana tiba za hospital
Vyovyote ila unajua humu kuna watu wana experience na magonjwa kama ayo nipate ushauri walifanyaje mpaka wakapona ila ushauri wako ntauzingatia maana nawashwa mpaka najisikia kama homa nikijimwagia maji ndo balaaKwa hiyo ulikuja hapa ukitegemea utaalamu wa tiba mbadala?
Sawa mkuu ngoja ntaifatfa hiyo aloevera japo nilipo ni adimu kuipata na sijawai kuionaChukua alovera menya ule utando wake wa ndani ponda mpk upate mchuzi ukishaoga usiku paka sehemu zote zilizoathirika kwa muda wa wiki 3 utaniambia