Tatizo la nguvu sa kiume

Tatizo la nguvu sa kiume

lutemi

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
1,748
Reaction score
1,388
Hili wimbi la wanaume kukosa nguvu za kiume tatizo ni nini haswa!
Punyeto?
Msongo wa mawazo?
Lifestyle (ulaji)
Lakini kitu gani haswa kinafanya wanawake wengi kutoridhika na mme mmoja hata kama mke ameolewa tatizo ni nini haswa?
Utandawazi?
Kutokutoshelezwa?
Mafunzo kwa wanawake kabla hawajaolewa?
Hebu tuongeee hapa na suluhisho ni nini
 
hili jambo limeikumba jamii kwa kiwango cha juu ila ninavyoona lina mkusanyiko wa sbb nyingi msongo wa mawazo ugumu wa maisha punyeto vyakula vimekuwa si rafiki pia pia dada zetu wameshindwa kabisa kijisitiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona dushe linaishiwa pumzi apply fisting. Nguvu za kiume ni ubunifu tu huo sio mti
 
Afadhali mkuu umenisaidia maana wanahamisha mada na kuanza kujadili errors kuliko hoja yenyewe
 
Kuangalia pornography ni chanzo kikubwa pia vyakula vya kisasa, kitambi au unene, mtindo wa maisha wenye msongo mkubwa na kutoheshimiana siku hizi kati ya wake na waume
 
Kuangalia pornograph si ndio inahamasisha ngono?
 
daktar alikwambia chanzo chako cha upungufu wa nguvu za kiume ni nn ?
 
Back
Top Bottom