Tatizo la nywele...nifanyeje?

Tatizo la nywele...nifanyeje?

stivii

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
222
Reaction score
143
Wana jamiiforums,

Mimi nina tatizo la kuota mba kichwani. Yani nywele zangu nimejitahidi kupaka mafuta tofauti lakini mba hawaishi,nimebadili sabuni za ngozi lakini wapi....Nikafikiri ni tatizo la barbershop labda mashine zao nimebadili lakini wapi...Sasa nimekuwa mtu wa kunyoa para japo sipendi maana nikiacha nywele zinawasha balaa najikuna muda wote....Na mba zenyewe ni kama vipunje kwa mbaaali na nywele zikiwa ndefu ndio nahisi kama vidonda fulani nikijikuna jikuna.

Sasa naomba mnisaidie vitu viwili,
1. Ebu niambieni ili ni tatizo la kawaida au natembea na maradhi?

2. Nitumie mafuta gani au dawa ipi nimalize hii ghasia? Na niende wapi kupata izo dawa au mafuta?
 
Anti dandruff shampoo kla cku unapooga na mafuta ya virgin kma tube hv kweny ngoz wapaka
 
Anti dandruff shampoo kla cku unapooga na mafuta ya virgin kma tube hv kweny ngoz wapaka

Ayo mafuta ya virgin nitayapata wapi? I mean yapo maduka ya kawaida au
 
Wana jamiiforums,

Mimi nina tatizo la kuota mba kichwani. Yani nywele zangu nimejitahidi kupaka mafuta tofauti lakini mba hawaishi,nimebadili sabuni za ngozi lakini wapi....Nikafikiri ni tatizo la barbershop labda mashine zao nimebadili lakini wapi...Sasa nimekuwa mtu wa kunyoa para japo sipendi maana nikiacha nywele zinawasha balaa najikuna muda wote....Na mba zenyewe ni kama vipunje kwa mbaaali na nywele zikiwa ndefu ndio nahisi kama vidonda fulani nikijikuna jikuna.

Sasa naomba mnisaidie vitu viwili,
1. Ebu niambieni ili ni tatizo la kawaida au natembea na maradhi?

2. Nitumie mafuta gani au dawa ipi nimalize hii ghasia? Na niende wapi kupata izo dawa au mafuta?

Hayo ni maradhi mkuu pata ushauri wa daktati
Hints: ukipaka mafuta nahisi ndo inakuletea mba kwa sababu vumbi hunasa sana kichwani ..vumbi ambalo lina bacteria chungu mbovu
Ushauri wangu: jidahidi kusafisha nywele na anti-bacterial shampoos at least twice a day na tumia mafuta ya nywele ya kueleweka...
Mengine subiri watakuja wajuvi
 
Wana jamiiforums,

Mimi nina tatizo la kuota mba kichwani. Yani nywele zangu nimejitahidi kupaka mafuta tofauti lakini mba hawaishi,nimebadili sabuni za ngozi lakini wapi....Nikafikiri ni tatizo la barbershop labda mashine zao nimebadili lakini wapi...Sasa nimekuwa mtu wa kunyoa para japo sipendi maana nikiacha nywele zinawasha balaa najikuna muda wote....Na mba zenyewe ni kama vipunje kwa mbaaali na nywele zikiwa ndefu ndio nahisi kama vidonda fulani nikijikuna jikuna.

Sasa naomba mnisaidie vitu viwili,
1. Ebu niambieni ili ni tatizo la kawaida au natembea na maradhi?

2. Nitumie mafuta gani au dawa ipi nimalize hii ghasia? Na niende wapi kupata izo dawa au mafuta?

Anzia mwanzo. Maji unayotumia kuogea. Unajitibu then unarudi kwenye chanzo kilekile. Jaribu ku solve hilo kwanza.

Lazima tukubali ukweli. Maji yetu Bongo si mazuri. Hayana treatment yoyote. Yawe ya Ruvu au wapi. Sana sana wanachuja mchanga lakini bacteria kama kawa. Visima vilivyotapakaa mitaani the same story. Tena visioma vifupi. bacteria wa kwenye kinyesi wamejaa tele. Bila ya kuchemsha kwa kunywa, ni mtihani mzito.
 
Tumia shampoo yenye selen disulphide au ketoconazolum(FUNGORAL) zinauzwa pharmacy.Hio ketoconazolum unatumia kuosha mara mbili kwa wiki(1-5ml) unaiacha kwenye kichwa inafanya kazi kwa dakika 3-5 na fanya hivo kwa muda wa wiki nne.Hakikisha nywele zina kauka vizuri ukishaziosha,BLOWDRY!!
 
Back
Top Bottom