Mkwai
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 306
- 96
Sehemu kubwa ya tatizo la perfomance katika majamboz linasababishwa na uchakachuaji wa miili yetu.
1. Matumizi ya dawa/kemikali za kuzuia mimba au kupanga uzazi kwa walio katika ndoa. Kemikali hizi hufuja radha halisi ya kiungo husika kwa upande wa kina mama na kumfanya jamaa asipate ile taste ya asili ya usumaku. Hii husababisha wengi wetu kupiga round moja au mbili tu hamu kwisha.
2. Vyakula na vinywaji vingi tunavokula na kunywa siku hizi havina virutubisho ya asili, vingi vimechakachuliwa. Hili linaathiri pande zote mme na mke....
ITAENDELEA...
Utafiti huu ni wangu binafsi.
Baadhi hamtakubaliana nami, mawazo na mapingamizi yenu itakuwa faida kwa wengine.
HABARI BANDUGU.
Mtafiti wenu nipo busy sana kwa kazi zingine za kitafiti; tutaendelea kuwa pamoja kila nitapopata wasaa.
katika point ya kwanza; hali ya kupoteza hamu ya tendo pia huwaathiri baadhi ya kina dada mara wanapotumia madawa haya, hukosa hamu kwa kipindi chote mpaka dawa zinapokwisha nguvu ndio hurudi katika hali ya kawaida. Nieleweke hapa: waathirika wakubwa ni kina baba, ila hata baadhi ya kina dada huathiriwa nayo pia. hufikia mahali kina dada hujilazimisha kufanya ilimradi tu kuwaridhisha wapendwa wao.
Turudi kwetu makamanda; wakati hawa wenzetu hawajachakachua, katika majamboz jogoo hachoki kabisa, itafikia mahali mwili umechoka kuendelea na zoezi ila jogoo anakomaa na utamu, na kuuma kabisa. Hii hutokea kwa asilimia 90 ukiwa na kitu ambacho hakijachakachuliwa. Kwa iliochakachuliwa mzee ni 10% tu inaweza ikatokea jogoo akalazimisha.
Itaendelea.
1. Matumizi ya dawa/kemikali za kuzuia mimba au kupanga uzazi kwa walio katika ndoa. Kemikali hizi hufuja radha halisi ya kiungo husika kwa upande wa kina mama na kumfanya jamaa asipate ile taste ya asili ya usumaku. Hii husababisha wengi wetu kupiga round moja au mbili tu hamu kwisha.
2. Vyakula na vinywaji vingi tunavokula na kunywa siku hizi havina virutubisho ya asili, vingi vimechakachuliwa. Hili linaathiri pande zote mme na mke....
ITAENDELEA...
Utafiti huu ni wangu binafsi.
Baadhi hamtakubaliana nami, mawazo na mapingamizi yenu itakuwa faida kwa wengine.
HABARI BANDUGU.
Mtafiti wenu nipo busy sana kwa kazi zingine za kitafiti; tutaendelea kuwa pamoja kila nitapopata wasaa.
katika point ya kwanza; hali ya kupoteza hamu ya tendo pia huwaathiri baadhi ya kina dada mara wanapotumia madawa haya, hukosa hamu kwa kipindi chote mpaka dawa zinapokwisha nguvu ndio hurudi katika hali ya kawaida. Nieleweke hapa: waathirika wakubwa ni kina baba, ila hata baadhi ya kina dada huathiriwa nayo pia. hufikia mahali kina dada hujilazimisha kufanya ilimradi tu kuwaridhisha wapendwa wao.
Turudi kwetu makamanda; wakati hawa wenzetu hawajachakachua, katika majamboz jogoo hachoki kabisa, itafikia mahali mwili umechoka kuendelea na zoezi ila jogoo anakomaa na utamu, na kuuma kabisa. Hii hutokea kwa asilimia 90 ukiwa na kitu ambacho hakijachakachuliwa. Kwa iliochakachuliwa mzee ni 10% tu inaweza ikatokea jogoo akalazimisha.
Itaendelea.