Tatizo la perfomance ktk majamboz.

Mkwai

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
306
Reaction score
96
Sehemu kubwa ya tatizo la perfomance katika majamboz linasababishwa na uchakachuaji wa miili yetu.
1. Matumizi ya dawa/kemikali za kuzuia mimba au kupanga uzazi kwa walio katika ndoa. Kemikali hizi hufuja radha halisi ya kiungo husika kwa upande wa kina mama na kumfanya jamaa asipate ile taste ya asili ya usumaku. Hii husababisha wengi wetu kupiga round moja au mbili tu hamu kwisha.
2. Vyakula na vinywaji vingi tunavokula na kunywa siku hizi havina virutubisho ya asili, vingi vimechakachuliwa. Hili linaathiri pande zote mme na mke....

ITAENDELEA...

Utafiti huu ni wangu binafsi.

Baadhi hamtakubaliana nami, mawazo na mapingamizi yenu itakuwa faida kwa wengine.

HABARI BANDUGU.
Mtafiti wenu nipo busy sana kwa kazi zingine za kitafiti; tutaendelea kuwa pamoja kila nitapopata wasaa.

katika point ya kwanza; hali ya kupoteza hamu ya tendo pia huwaathiri baadhi ya kina dada mara wanapotumia madawa haya, hukosa hamu kwa kipindi chote mpaka dawa zinapokwisha nguvu ndio hurudi katika hali ya kawaida. Nieleweke hapa: waathirika wakubwa ni kina baba, ila hata baadhi ya kina dada huathiriwa nayo pia. hufikia mahali kina dada hujilazimisha kufanya ilimradi tu kuwaridhisha wapendwa wao.
Turudi kwetu makamanda; wakati hawa wenzetu hawajachakachua, katika majamboz jogoo hachoki kabisa, itafikia mahali mwili umechoka kuendelea na zoezi ila jogoo anakomaa na utamu, na kuuma kabisa. Hii hutokea kwa asilimia 90 ukiwa na kitu ambacho hakijachakachuliwa. Kwa iliochakachuliwa mzee ni 10% tu inaweza ikatokea jogoo akalazimisha.

Itaendelea.
 
hehehe Dah! Mzazi umefafanua vya kutosha, hiyo part 2 nazani ndio itakuwa funga kazi lol
 

mkuu hebu dadavua kidogo hapo... una maana kemikali zinasababisha 'k' kupoteza mvuto, mnato etc au?
 
Iyo part 2 sijui itatoka lini?? Maana inavyoingoja ni kama mechi ya man u na man city
 
Iyo part 2 sijui itatoka lini?? Maana inavyoingoja ni kama mechi ya man u na man city

Yaani hiyo part 2 si ya kukosa kabisa. Mimi nishaweka usb key tayari, akiiweka tu naidownload. Yaani jamaa limeshiba utafiti kuliko charles darwin
 
Hizi thread naona zinalipa siku hizi
Ngoja na mimi nipange mada yangu
 
Hizi thread naona zinalipa siku hizi
Ngoja na mimi nipange mada yangu
Deskmate lakini ukuje na ma information ya kutosha kama alivofanya mtafiti wetu kwenye hii sredi azawaizi mauzo itakula kwako lol
 
Deskmate lakini ukuje na ma information ya kutosha kama alivofanya mtafiti wetu kwenye hii sredi azawaizi mauzo itakula kwako lol
Utafiti nilifanya siku nyingi na conclusion nimesha publish:
Ukileta uvivu kitandani humtendei haki mwenzio, hapo vipi?
Yani it took 10 years of research to get there, na tunaendelea
Hapa tupo katika kuchunguza kama migraine ni ugonjwa au uvivu.
 
Utafiti nilifanya siku nyingi na conclusion nimesha publish:
Ukileta uvivu kitandani humtendei haki mwenzio, hapo vipi?
Yani it took 10 years of research to get there, na tunaendelea
Hapa tupo katika kuchunguza kama migraine ni ugonjwa au uvivu.
Hiyo migraine ni excuse wanayoitumia sana kina dada wanapotaka kuweka mgomo wa usiku.
Tukirudi kwenye resachi yako, nani unamtupia lawama katika tatizo zima la kutokuridhishana? me au ke?
Kwa vile mtafiti wetu kaingia mitini wewe utakaimu hii nafasi mpaka arejee lol
 
Hahahaha, Deskmate you gotta be kidding me!
toka lini uliona Mwali anatoa somo la ngono?
Hata hivo mbona naona all look so obvious?
Kuna haja ya kujadili kweli au ni ushahuri tu?
 
Hahahaha, Deskmate you gotta be kidding me!
toka lini uliona Mwali anatoa somo la ngono?
Hata hivo mbona naona all look so obvious?
Kuna haja ya kujadili kweli au ni ushahuri tu?
Deskmate si ulisema anti yako alikufunda last wiki?
Hii sredi tunajarib kuipeleka mbele tu lakini kama ulivosema hapa hakuna cha kujadili, labda tumsubirie Saint Ivuga halaf tuichakachue
 
Last edited by a moderator:
Deskmate si ulisema anti yako alikufunda last wiki?
Hii sredi tunajarib kuipeleka mbele tu lakini kama ulivosema hapa hakuna cha kujadili, labda tumsubirie Saint Ivuga halaf tuichakachue
Anti alinifunda, hapa kwa upande wa theory nimejaa tele
Sema practice ndio mtihani sasa, labda aje huyo uliemtag. lol
Where is my cousin Husninyo? umemuona usiku huu?
 
Last edited by a moderator:
Anti alinifunda, hapa kwa upande wa theory nimejaa tele
Sema practice ndio mtihani sasa, labda aje huyo uliemtag. lol
Where is my cousin Husninyo? umemuona usiku huu?
Yep Husninyo alikuwepo muda si mrefu lakini sasa hivi nazani atakuwa anacheza kidali po na Judgement lol
hahaha hapo practical hata bodyguard anaweza akavolunteer lakini usimshtue anti yako wala majirani
 
Last edited by a moderator:
Yep Husninyo alikuwepo muda si mrefu lakini sasa hivi nazani atakuwa anacheza kidali po na Judgement lol
hahaha hapo practical hata bodyguard anaweza akavolunteer lakini usimshtue anti yako wala majirani
:nono😀on't even try Deskmate, nitampigia Uncle sim sasa hivi
 
Mkuu uko sahihi sana tu, mimi hula mihogo, ugali bamia yaani vyakula vya asili na si vya Shoprite vile vya kuigaiga, kweli nafurahi au rijali wangu. Kuna jamaa analaani chipsi balaa takribani miaka minne jamaa alikuwa anapenda sana chipsi mayai, yaliyomkuta ni balaa, alizama gheto na kimwana akashindwa kusimamisha bana, noooooooooooooma! kwa wanaume jamani tujitahidi sana kuacha haya ma vyakula ya supamarket hata nyanya zile za kopo si nzuri kabsaaaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…