Wataalam,
Pikipiki yangu ni ndogo aina ya Sinoray 110, Full tank mafuta ni Lita tatu (3) tu.
Nilipoinunua ikiwa mpya nilikuwa naitumia hadi siku 6 kwa mizunguko yangu ya kwenda kazini na kurudi nyumbani.
Ni miaka miwili imepita sasa, ila kwa Sasa Lita zilezile 3, nazitumia siku 3 tu kwa mizunguko ileile.
Tatizo linaweza kuwa ni nini hapa wataalam?