Amaizing Mimi
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 489
- 1,102
Salamu kwenu wakuu,Nina pikipiki yangu aina ya TVS 125.
Tatizo lake ni pale ninapowasha taa kubwa ya mbele baada ya dakika kadhaa pikipiki inazima, na inapotaka kuzima nikizima taa inaendelea kuwa fresh.
Nilienda kwa fundi akasema tatizo ni rectfire, nikabadili rectfire lakini tatizo likabaki pale pale. Fundi akasema huenda ni coil ndio inazalisha umeme kidogo. Nikanunua Coil mpya lakini tatizo bado halijaisha. Fundi ananiambia ni betry imechoka.
Kabla sijanunua betry naombeni ushauri wenu. Natanguliza shukrani.
Tatizo lake ni pale ninapowasha taa kubwa ya mbele baada ya dakika kadhaa pikipiki inazima, na inapotaka kuzima nikizima taa inaendelea kuwa fresh.
Nilienda kwa fundi akasema tatizo ni rectfire, nikabadili rectfire lakini tatizo likabaki pale pale. Fundi akasema huenda ni coil ndio inazalisha umeme kidogo. Nikanunua Coil mpya lakini tatizo bado halijaisha. Fundi ananiambia ni betry imechoka.
Kabla sijanunua betry naombeni ushauri wenu. Natanguliza shukrani.