Mdeke_Pileme JF-Expert Member Joined Aug 24, 2013 Posts 1,596 Reaction score 2,226 Sep 13, 2015 #1 Habari wanaa jukwaa, Tatizo langu nina sauti ndogo yani kama ya kike nini tatizo au jinsi gani ya wezwa kubadilishwa maana mpaka kero sasa, hasa hasa kwa mabinti kunidongoa kuwa nina elements za kike. Nawasilisha Msaada wenu Jf
Habari wanaa jukwaa, Tatizo langu nina sauti ndogo yani kama ya kike nini tatizo au jinsi gani ya wezwa kubadilishwa maana mpaka kero sasa, hasa hasa kwa mabinti kunidongoa kuwa nina elements za kike. Nawasilisha Msaada wenu Jf
S shahnaz Member Joined Apr 20, 2013 Posts 36 Reaction score 6 Sep 13, 2015 #2 Nenda ka check hormones. Litakuwa ni tatizo la hormone tu.
Gefu JF-Expert Member Joined Nov 30, 2010 Posts 6,930 Reaction score 2,565 Sep 13, 2015 #3 ..itumie kwa faida acha kukariri maisha Mungu hakosei...
ankol JF-Expert Member Joined Aug 21, 2012 Posts 2,355 Reaction score 4,260 Sep 14, 2015 #4 Eti ni kweli kua na sauti ndogo kuna relationship na manpower? eti ukiwa na sauti nyembambaa utakua na matatizo ya nguvu za kijinsia?
Eti ni kweli kua na sauti ndogo kuna relationship na manpower? eti ukiwa na sauti nyembambaa utakua na matatizo ya nguvu za kijinsia?
Z Zamazamani JF-Expert Member Joined Jun 13, 2008 Posts 1,869 Reaction score 787 Sep 14, 2015 #5 jicheki na jinsia mikuu...
Yummie JF-Expert Member Joined Sep 12, 2015 Posts 1,363 Reaction score 1,081 Sep 14, 2015 #6 Ni maumbile tu yakubali na itumie in positive way. Sisi watu maneno tumeumbiwa,we fanya yako wabaki wanaropokwa tu
Ni maumbile tu yakubali na itumie in positive way. Sisi watu maneno tumeumbiwa,we fanya yako wabaki wanaropokwa tu