Tatizo la Simba inategemea uchawi na bahati badala ya kuwategemea wachezaji na kocha

Tatizo la Simba inategemea uchawi na bahati badala ya kuwategemea wachezaji na kocha

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2023
Posts
1,483
Reaction score
2,392
Ukweli lazima usemwe Simba ni Timu mbovu tena Mbovu sana.Simba ni timu iliyofanya usajili wa hovyo huku ikijua inashiriki mashindano makubwa na magumu.

Tatizo la SIMBA Viongozi wanaamini uchawi na bahati badala ya kuamini ubora wa wachezaji wao uwanjani na kocha wao.

Ushauri kwa Mwekezaji Mo Dewji,V vunja Uongozi mzima wa Mangungu na Wenzake simba ili Wapatikane viongozi wenye upeo wa Mpira.

Fukuza wajumbe wote wa kamati ya usajilo inayonunua Wachezaji bila kujali ubora wao.

Fukuza baadhi ya wachezaji wengi wamechoka Viwango vyao vimeshuka.

SIMBA iundwe upya, igeni Kamati ya usajili ya mtani wenu inavyojua kusaka wachezaji wenye viwango,
acheni tabia ya kuuza wachezaji muhimu katikati ya mashindano kama Baleke mlivyomuuza.

Pole Mo, umeipambania SIMBA wenzako Wanakusaliti.
 
Simba Wala sio uchawi ni timu imeshafikia hatua za mwisho za mafanikio.... Kinachohitajika ni Reshuffle, haiwezekani timu yenye wachezaji 20+ mkategemea ubora wa mchezaji mmoja??. Chama asipokuwa na siku nzuri kazi na bahati ya kufunga basi mnafungwa/Draw.
Aliyeudanganya uongozi kuwakataa strikers wote wawili katikakati ya msimu anapaswa kuchomwa moto.
 
Mkuu imani ya UCHAWI kwa YANGA na SIMBA haiepukiki Viongozi ni Wahumini
Hilo la Wachezaji upo sahihi kabisa MAAMUZI MAGUMU SIMBA yanahitajika
 
Ukweli lazima usemwe Simba ni Timu mbovu tena Mbovu sana.Simba ni timu iliyofanya usajili wa hovyo huku ikijua inashiriki mashindano makubwa na magumu.

Tatizo la SIMBA Viongozi wanaamini uchawi na bahati badala ya kuamini ubora wa wachezaji wao uwanjani na kocha wao.

Ushauri kwa Mwekezaji Mo Dewji,V vunja Uongozi mzima wa Mangungu na Wenzake simba ili Wapatikane viongozi wenye upeo wa Mpira.

Fukuza wajumbe wote wa kamati ya usajilo inayonunua Wachezaji bila kujali ubora wao.

Fukuza baadhi ya wachezaji wengi wamechoka Viwango vyao vimeshuka.

SIMBA iundwe upya, igeni Kamati ya usajili ya mtani wenu inavyojua kusaka wachezaji wenye viwango,
acheni tabia ya kuuza wachezaji muhimu katikati ya mashindano kama Baleke mlivyomuuza.

Pole Mo, umeipambania SIMBA wenzako Wanakusaliti.
Mo hawezi kumfukuza Mangungu.kwa sababu ni mwenyekiti wa wanachama Ila anaweza kumtoa try again.
Mo naye ni tatizo Kama anatoa pesa kusajili wachezaji Aina ya Jobe
 
Mo hawezi kumfukuza Mangungu.kwa sababu ni mwenyekiti wa wanachama Ila anaweza kumtoa try again.
Mo naye ni tatizo Kama anatoa pesa kusajili wachezaji Aina ya Jobe
Wanachama wa SIMBA ni mambumbumbu SIMBA inadidimia wanakenua meno
 
Endeleeni kuijadili timu yenu bila kuitaja Yanga.
 
Benchika na lakred wakiwa zoom mashabiki wa simba
 
Simba Wala sio uchawi ni timu imeshafikia hatua za mwisho za mafanikio.... Kinachohitajika ni Reshuffle, haiwezekani timu yenye wachezaji 20+ mkategemea ubora wa mchezaji mmoja??. Chama asipokuwa na siku nzuri kazi na bahati ya kufunga basi mnafungwa/Draw.
Aliyeudanganya uongozi kuwakataa strikers wote wawili katikakati ya msimu anapaswa kuchomwa moto.
Kuna wachezaji hapo mafaza na wamekaa muda mrefu hakuna jipya.
 
Ukweli lazima usemwe Simba ni Timu mbovu tena Mbovu sana.Simba ni timu iliyofanya usajili wa hovyo huku ikijua inashiriki mashindano makubwa na magumu.

Tatizo la SIMBA Viongozi wanaamini uchawi na bahati badala ya kuamini ubora wa wachezaji wao uwanjani na kocha wao.

Ushauri kwa Mwekezaji Mo Dewji,V vunja Uongozi mzima wa Mangungu na Wenzake simba ili Wapatikane viongozi wenye upeo wa Mpira.

Fukuza wajumbe wote wa kamati ya usajilo inayonunua Wachezaji bila kujali ubora wao.

Fukuza baadhi ya wachezaji wengi wamechoka Viwango vyao vimeshuka.

SIMBA iundwe upya, igeni Kamati ya usajili ya mtani wenu inavyojua kusaka wachezaji wenye viwango,
acheni tabia ya kuuza wachezaji muhimu katikati ya mashindano kama Baleke mlivyomuuza.

Pole Mo, umeipambania SIMBA wenzako Wanakusaliti.
Baleke alikuwa kwa mkopo
 
Ukweli lazima usemwe Simba ni Timu mbovu tena Mbovu sana.Simba ni timu iliyofanya usajili wa hovyo huku ikijua inashiriki mashindano makubwa na magumu.

Tatizo la SIMBA Viongozi wanaamini uchawi na bahati badala ya kuamini ubora wa wachezaji wao uwanjani na kocha wao.

Ushauri kwa Mwekezaji Mo Dewji,V vunja Uongozi mzima wa Mangungu na Wenzake simba ili Wapatikane viongozi wenye upeo wa Mpira.

Fukuza wajumbe wote wa kamati ya usajilo inayonunua Wachezaji bila kujali ubora wao.

Fukuza baadhi ya wachezaji wengi wamechoka Viwango vyao vimeshuka.

SIMBA iundwe upya, igeni Kamati ya usajili ya mtani wenu inavyojua kusaka wachezaji wenye viwango,
acheni tabia ya kuuza wachezaji muhimu katikati ya mashindano kama Baleke mlivyomuuza.

Pole Mo, umeipambania SIMBA wenzako Wanakusaliti.
 

Attachments

  • downloadfile.jpg
    downloadfile.jpg
    94.5 KB · Views: 5
Back
Top Bottom